• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 11:53 AM

Gavana Waititu aonya matapeli wanaohangaisha watumiaji wa soko Witeithie

Na LAWRENCE ONGARO MAWAKALA ambao wamezoea kuhangaisha wakazi na watumiaji wa soko la Witeithie  eneo la Juja, wamepigwa marufuku...

Kulikoni baadhi ya viongozi wa Jubilee walia eti wamepokonywa walinzi?

Na IBRAHIM ORUKO na SAMWEL OWINO SERIKALI imewapokonya walinzi baadhi ya wanasiasa wa Jubilee? Hilo ndilo swali lililokuwa kwenye vinywa...

Wafuasi wa Waititu wamkabili diwani wa Thika Township

Na LAWRENCE ONGARO   MKUTANO wa Gavana wa Kiambu ulizua taharuki wakati wafuasi wake walimkabili...

EACC yamsifu Waititu kwa utendakazi wa kaunti yake

Na LAWRENCE ONGARO TUME ya Kupambana na Ufisadi nchini (EACC) imeipongeza Kaunti ya Kiambu kwa utendakazi wake. Katibu wa tume hiyo...

Waititu amtuma nduguye Moses Kuria likizo ya lazima zogo likitokota

Na Erick Wainaina SIKU moja tu baada ya Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria kusema kwamba eneo la Mlima Kenya halijafaidika sana na...

Waititu aajiri madaktari 40 wapya kuboresha huduma

Na LAWRENCE ONGARO KAUNTI ya Kiambu imeajiri madaktari 40 wapya watakaosambazwa kila eneo kupunguza uhaba uliopo. Madaktari hao...

Waititu awanasua mkewe, mwekezaji na vibarua mahakamani

Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Kiambu Ferdinand Waititu aliwalipia dhamana wote walioshtakiwa, mkewe Susan Wangare Ndung’u, mwekezaji na...

Mwekezaji pabaya kwa kujenga jumba la Waititu bila idhini

Na RICHARD MUNGUTI MWEKEZAJI aliyefumaniwa akijenga jumba linalohusishwa na Gavana wa Kiambu Bw Ferdinand Waititu alishtakiwa...

Mkewe Waititu mashakani kwa kujenga bila leseni

NA PETER MBURU Mkewe gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu alikamatwa na maafisa wa serikali ya kaunti ya Nairobi pamoja na watu wengine 14,...

UBOMIAJI: Sonko na Waititu warukiana mitandaoni

NA PETER MBURU Semi za Gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu za kukosoa ubomoaji wa majumba yaliyojengwa karibu na mito na badala yake...

‘Hekima’ ya Waititu kusongesha mito yashtua dunia

Na VALENTINE OBARA GAVANA wa Kiambu, Bw Ferdinand Waititu, ameibua mjadala mkali nchini baada ya kupendekeza kwamba mikondo ya mito...

Wakazi kutoka kaunti jirani wamechangia huduma mbovu Kiambu – Waititu

Na WANDERI KAMAU GAVANA wa Kiambu, Ferdinand Waititu amedai kuwa idadi kubwa ya watu kutoka kaunti jirani ndiyo inayosababisha kudorora...