Tag: wanahabari
- by adminleo
- May 2nd, 2019
Wakenya wanaamini vyombo vya habari – Ripoti
Na WANDERI KAMAU WAKENYA wengi wanaviamini vyombo ya habari kwa kuangazia masuala muhimu yanayoikumba nchi, imeonyesha ripoti...
- by adminleo
- April 1st, 2019
TAHARIRI: Afisa aliyedhulumu wanahabari akamatwe
NA MHARIRI MASHAMBULIZI dhidi ya wanahabari yameanza kuwa jambo la kawaida hapa nchini. Kila mtu anayehisi kubanwa hukimbilia...
- by adminleo
- March 14th, 2019
Wanahabari wakejeli wahubiri wanaowatishia maisha kwa kuanika maovu yao
Na ANITA CHEPKOECH VYAMA vya waandishi habari nchini vimeelezea wasiwasi wake kuhusu ongezeko la visa vya viongozi wa kidini kuwatishia...
- by adminleo
- March 5th, 2019
Wito raia kuwaripoti wanahabari wafisadi
NA CECIL ODONGO TUME ya kupokea malalamishi ya Baraza Kuu la Vyombo vya Habari nchini imewataka raia kupiga ripoti kwake kuhusu...
- by adminleo
- December 28th, 2018
Wanahabari wavamiwa kwenye kesi ya aliyebaka mtoto wa waziri
Na MAGDALENE WANJA BARAZA la Wanahabari nchini (MCK) limetoa onyo kwa wanaowavamia wanahabari wakiwa kazini kuwa watakabiliwa na...
- by adminleo
- December 20th, 2018
Wanahabari huru kuangazia kesi ya ufisadi inayokabili Kenya Power
Na RICHARD MUNGUTI JARIBIO la Mkurugenzi wa Uchunguzi (DCI) wa Jinai kuzima vyombo vya habari kuchapisha habari kuhusu kesi ya ununuzi...
- by adminleo
- November 19th, 2018
MCK kuanzisha msako dhidi ya wanahabari bandia
Na COLLINS OMULO BARAZA la kusimamia sekta ya Uandishi wa Habari (MCK) limeelezea hofu yake kuhusu kuongezeka kwa watu wanaojifanya kuwa...
- by adminleo
- November 14th, 2018
DHULUMA KWA WANAHABARI: Muthoki Mumo alivyoteswa na polisi wa Tanzania
Na PETER MBURU IMEBAINIKA kuwa polisi wa Tanzania walimtesa aliyekuwa mwanahabari wa Nation Media Group (NMG), Muthoki Mumo, wakati...
- by adminleo
- October 18th, 2018
TAHARIRI: Wakati wa kuwalinda wanahabari ni sasa
NA MHARIRI KATIKA siku za hivi majuzi, visa vya kusikitisha ambapo wanahabari wamekuwa wakishambuliwa vimekithiri zaidi humu nchini....
- by adminleo
- September 5th, 2018
Msaidizi wa gavana ndani kwa kuteka nyara mwanahabari wa NMG
Na JUSTUS OCHIENG MAAFISA wa DCI Jumanne walimkamata Msaidizi wa Kibinafsi wa Gavana wa Kaunti ya Migori Okoth Obado, Michael Oyamo,...
- by adminleo
- August 25th, 2018
Wanahabari wa bungeni wachagua viongozi wapya
Na CHARLES WASONGA CHAMA cha wanahabari wanaoripoti masuala ya bungeni (KPJA) Ijumaa kiliandaa uchaguzi wa viongozi wake wapya ambapo...
- by adminleo
- June 6th, 2018
Gavana akataza maafisa kuongea na wanahabari
Na Oscar Kakai GAVANA wa Kaunti ya Pokot Magharibi, Prof John Lonyangapuo amepiga marufuku vyombo vya habari kuangazia masuala ya...