Tag: wazee
- by adminleo
- April 25th, 2019
ONYANGO: Fedha za wazee ziongezwe kukabiliana na makali ya njaa
Na LEONARD ONYANGO SERIKALI imeanza shughuli ya kuondoa ‘walaghai’ ambao wamekuwa wakipokea Sh2,000 ambazo hutolewa kwa wazee wa...
- by adminleo
- April 22nd, 2019
KOIGARO FALLS: Eneo wazee wa Kalenjin walikuwa wanajirusha kwa kuamini ‘kifo kimewasahau’
NA RICHARD MAOSI MLIMA wa Koigaro Falls katika eneo la Biribiriet, Kaunti ya Nandi, unasifika kutokana na historia yake ndefu, ya...
- by adminleo
- April 3rd, 2019
Maafisa watakiwa kuomba wakazi msamaha
Na KALUME KAZUNGU BARAZA la wazee Kaunti ya Lamu linataka wakuu wa usalama Pwani waombe radhi kwa kuwadharau wakazi. Mnamo Jumanne,...
- by adminleo
- March 27th, 2019
Wabunge waitaka serikali kuwalipa wazee wa vijiji
Na CHARLES WASONGA SERIKALI itaanza kuwalipa wazee wa mitaa marupurupu kutokana na huduma wanazotoa kwa ushirikiano na machifu na...
- by adminleo
- January 23rd, 2019
Serikali yakosa kulipa wazee miezi 4 mfululizo
NA CECIL ODONGO MAELFU ya wazee ambao wamesajiliwa kwenye mpango wa Serikali wa kuwapa pesa za kila mwezi, hawajapokea hela hizo tangu...
- by adminleo
- December 20th, 2018
Uasin Gishu kununulia wazee wa vijiji sare kwa Sh10 milioni
WYCLIFF KIPSANG na ONYANGO K’ONYANGO SERIKALI ya kaunti ya Uasin Gishu itatumia Sh10 milioni kununua sare kwa wazee wa vijiji ikisema...
- by adminleo
- December 18th, 2018
Wazee wa vijiji wataka serikali iwape mishahara na sare za kazi
Na Alex Njeru WAZEE wa vijiji Kaunti ya Tharaka-Nithi, wameiomba serikali ya kitaifa kuwalipa mishahara na kuwapa sare za...
- by adminleo
- September 19th, 2018
Waboni walia maisha magumu huenda yakaangamiza jamii yao
NA KALUME KAZUNGU WAZEE kutoka jamii ya Waboni, Kaunti ya Lamu, wanaitaka serikali ya kitaifa kufikiria kuangazia sekta nyingine muhimu za...
- by adminleo
- July 23rd, 2018
Wazee wa Agikuyu wamkataa Ngunjiri kuwa msemaji wa jamii
Na WAANDISHI WETU Mzozo unatokota baada ya Baraza la wazee la Agikuyu kusema halitamtambua mbunge wa Bahati Kimani Nginjiri, kama...
- by adminleo
- June 18th, 2018
KURUNZI YA PWANI: Uchu wa mali, tuhuma za uchawi zinavyowaangamiza wazee Kilifi
Na KAZUNGU SAMUEL Baada ya mvi kuwa chanzo cha mauaji ya wazee katika kaunti ya Kilifi miaka ya awali, mambo sasa ni tofauti. Taifa...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Raila anadi upatanisho kwa jamii ya Waluo
Na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, ameomba wazee wa jamii ya Waluo wazidi kuendelea kupatanisha jamii hiyo...
- by adminleo
- March 26th, 2018
Wazee wateta kunyimwa hela kwa sababu ya vidole chakavu
Na FADHILI FREDRICK BAADHI ya wazee wanaofaidika kutokana na mpango wa pesa kila mwezi kupitia mpango maalum wa serikali kutoka kaunti...