• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 9:50 AM

Kaunti za Nairobi, Kajiado, Kiambu, Nakuru na Machakos zafungwa kuzuia corona

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta ameamuru kusitishwa kwa safari za kuingia na kuondoka katika kaunti za Nairobi, Kiambu, Machakos,...

‘Hakuna zuio la watu kutoruhusiwa ama kuingia au kuondoka katika baadhi ya kaunti’

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta amepuuzilia mbali uvumi kwamba anapanga 'kufunga nchi' kufuatia ongezeko la visa vya maambukizi...

Zuio la usafiri kuingia au kuondoka kwa baadhi ya kaunti kuondolewa?

Na CHARLES WASONGA HUENDA vikwazo wa usafiri vikaondolewa hivi karibuni licha ya ongezeko kubwa la idadi ya visa vya Covid-19 nchini...

Watu 64 wakiwa kwa magari ya wamiliki binafsi wanaswa wakijaribu kukiuka zuio

Na LAWRENCE ONGARO ABIRIA wapatao 64 walinaswa katika kizuizi cha Chania katika mpaka baina ya mji wa Thika na Kaunti ya Murang'a...

Huenda shughuli za kiuchumi zikafunguliwa kote nchini bila zuio na kafyu

Na MARY WANGARI WAKENYA huenda wakarejelea maisha yao ya kawaida kipindi cha majuma machache yajayo pasipo kafyu na zuio la kuingia au...

COVID-19: Rais Kenyatta atarajiwa kutangaza hatima ya kafyu na zuio Jumamosi

CHARLES WASONGA na SAMMY WAWERU RAIS Uhuru Kenyatta atawafahamisha Wakenya Jumamosi, Mei 16, 2020, ikiwa kafyu ya usiku kote nchini...

Serikali imeweka zuio kwa manufaa yenu, Supkem yaambia wakazi Eastleigh na Mji wa Kale

Na CECIL ODONGO BARAZA Kuu la Waislamu Nchini (Supkem) limeunga mkono hatua ya serikali kuweka kafyu ya kutotoka au kuingia katika mitaa...