• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 6:55 PM
Historia ya kumfuatilia Baba Krismasi ilianzaje?

Historia ya kumfuatilia Baba Krismasi ilianzaje?

NA MWORIA MUCHINA

Desemba 24, 1955

HISTORIA ya kufuatilia mwendo wa Baba Krismasi anaposafiri kila pembe ya dunia akipeana zawadi inaazishwa na kituo cha Continental Air Defense Command (CONAD) Operations Center kilichoko Colorado Springs, Colorado.

Hii ilikuwa baada ya mtoto mmoja kupiga simu kimakosa akidhania anampigia Baba Krismasi akitaka amletee zawadi ya Krismasi na badala yake namba aliyopiga ilikuwa ya kituo hicho.

  • Tags

You can share this post!

Watu 4,139 walifariki kutokana na ajali mwaka 2023 –...

Raila: Ni Krismasi ya mahangaiko

T L