• Nairobi
  • Last Updated May 11th, 2024 7:15 PM
Dynamo Kyiv kucheza dhidi ya vikosi vya haiba barani Ulaya ili kuchangisha pesa

Dynamo Kyiv kucheza dhidi ya vikosi vya haiba barani Ulaya ili kuchangisha pesa

Na MASHIRIKA

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Ukraine, Dynamo Kyiv watacheza mechi za kirafiki dhidi ya Barcelona, Paris Saint-Germain (PSG), AC Milan pamoja na vikosi vingine vya haiba kubwa barani Ulaya ili kuchangisha pesa kwa ajili ya taifa lao lililovamiwa na Urusi.

Mechi hizo za hisani zitachezewa ugenini chini ya kaulimbiu: “Mechi kwa ajili ya Amani! Tusitishe Vita!”

Ajax, Benfica na Sporting Lisbon pia wamejisajili kuwa sehemu ya vikosi vitakavyopimana nguvu na Kyiv.

You can share this post!

Jeptum ni malkia mpya wa Paris Marathon

Bruno Fernandes atia saini mkataba mpya wa mwaka mmoja...

T L