• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 8:55 PM
Leteni hao Arsenal – Klopp

Leteni hao Arsenal – Klopp

NA MASHIRIKA

KOCHA wa Liverpool, Jurgen Klopp, amesema kikosi chake kipo tayari kuvuruga juhudi za vinara Arsenal kubeba Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu, watakapowakaribisha ugani Anfield siku ya Jumapili.

Hii ni baada ya Liverpool kuagana 0-0 na Chelsea katika gozi la EPL uwanja wa Stamford Bridge, London, mnamo Jumanne usiku.

  • Tags

You can share this post!

MDG yamsuta Raila kwa kupinga ‘tiba’ ya bungeni

JURGEN NAMBEKA: Mafuriko ya Mwatate ishara hatujapangia...

T L