UDAKU: Mtangazaji anayetamani kuwa mke wa pili
NA SINDA MATIKO KICHUNA mtangazaji na Mcee anayezidi kupata umaarufu mkubwa Azeezah Hashim, hana tatizo kuwa yaya kwa watoto wa mke mwenza, ili kumruhusu kufurahia muda na mume wao. Hii Azeezah anasema wala haiwezi kuwa ishu kwake endapo itatokea akaolewa kama mke wa pili. Wakati mabinti wengi wa umri wake wakiona ugumu wa kuolewa kuwa […]