• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 10:50 AM
ODM yazimwa kufuta jina la seneta Ojienda kwenye rejista

ODM yazimwa kufuta jina la seneta Ojienda kwenye rejista

NA RICHARD MUNGUTI

CHAMA cha ODM chazimwa na mahakama kuondoa kwenye rejista jina la Seneta wa Kisumu Prof Tom Ojienda na wabunge wanne; wabunge waliotimuliwa chamani wiki jana ni Felix Odiwuor (Langata), Caroli Omondi (Suba Kusini), Gideon Ochanda (Bondo) na Elisha Odhiambo (Gem).

Mwenyekiti wa Jopo la Kutatua Mizozo ya Vyama vya Kisiasa (PPDT) Desma Nungo ameamuru ODM isifute majina ya wanasiasa hao katika sajili yake.

  • Tags

You can share this post!

Mwanamume aua mkewe na pia kujiangamiza kwa sababu ya...

Wambua ataja wanaraga sita wapya Kenya Shujaa ikielekea...

T L