• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 7:55 AM
Vurugu zasitisha mchujo wa PAA kukiwa na madai ya mapendeleo

Vurugu zasitisha mchujo wa PAA kukiwa na madai ya mapendeleo

NA MAUREEN ONGALA

MCHUJO wa chama cha Pamoja African Alliance (PAA) ulisimamishwa katika baadhi ya vituo baada ya kutokea vurugu, kukiwa na madai ya kuwapendelea baadhi ya wawaniaji.

Wanachama walimtaka kinara wao, Amason Kingi aingilie kati jambo hilo, la sivyo waungane na vyama vingine kunyima wawaniaji wa PAA kura Agosti.

Malalamishi hayo yalitokea baada ya wafuasi wa wagombea kukosa majina yao katika sajili za kupiga kura.

Majina ya baadhi ya wagombeaji pia hayakuwa kwenye karatasi za kupigia kura.

  • Tags

You can share this post!

Mchujo: Majeruhi wa UDA, ODM watoroka

MITAMBO: Chombo faafu kwa waundaji sharubati

T L