• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 5:50 AM

Afokea pasta kwa kumkataza kuoa kidosho

NA JOHN MUSYOKI MATENDENI, EMBU MUUMINI wa kanisa moja hapa alimkemea pasta kwa kukataa kumsaidia kutafuta kidosho mrembo wa kuoa...

Alazimika kutoa punda kama mahari

Na John Musyoki SIAKAGO, Embu JAMAA mmoja alilazimika kuwapa wakwe zake punda wawili ili kupunguza deni la kulipa...

Mlevi aokoka kwa kunusurika kifo

NA NICHOLAS CHERUIYOT CHEPALUNGU, BOMET KULIKUWA na kioja eneo hili mlevi alipozuru mtaro mmoja hatari ambao alikuwa ametumbukia...

Mke mhanyaji ataka wahame usiku

Na TOBBIE WEKESA KANGEMI, NAIROBI Kioja kilizuka kwenye ploti moja mtaani humu baada ya mwanadada kumshurutisha jamaa kuhama ploti...

Ataka idhini aoe mke wa nduguye

Na TOBBIE WEKESA SINOKO, BUNGOMA Kalameni mmoja kutoka hapa aliwashangaza wengi alipoandaa kikao kuomba idhini ya kumuoa mke wa ndugu...

Mama mkwe abeba chupi za jombi Krismasi

Na Nicholas Cheruiyot SOIN, KERICHO KULIZUKA kizaazaa eneo hili chupi za polo mmoja ziliponyanyuliwa kimakosa na mama mkwe aliyekuwa...

Atisha kukausha asali Krismasi

Na TOBBIE WEKESA MAILI NANE, ELDORET Kizaazaa kilizuka kwenye ploti moja mtaani humu baada ya kipusa kumzomea polo kwa kukataa...

Polo auza mali kuhama kijiji cha warogi

 Na JOHN MUSYOKI ISINYA, KAJIADO JAMAA wa hapa alizua kioja alipoamua kuuza mali yake ili ahamie mjini, akisema anahofia kurogwa na...

Lofa aanguka akiiba sola kwa jirani

NA NICHOLAS CHERUIYOT MERIGI, BOMET Mlofa wa eneo aliomba msaada alipoanguka akijaribu kupanda paa la nyumba ya jirani kuiba mtambo...

Kipusa atwanga polo aliyemhepa

Na TOBBIE WEKESA SANTONS, KASARANI JOMBI aliyeishi katika mtaa huu alitamani ardhi ipasuke na kummeza mzimamzima, alipovamiwa na...

Kalameni aoa wake wengi ili asifiwe

Na TOBBIE WEKESA KETEBAT, TESO Kalameni alishangaza ndugu zake alipowaambia kuwa anataka kuoa wanawake wengi kama babu...

Vipusa wahamia kwa polo mkora

Na TOBBIE WEKESA NETIMA, BUNGOMA POLO mmoja kutoka eneo hili alijipata taabani baada ya warembo wawili kumvamia wakitaka awaoe...