Tag: kenya power
Kenya Power yazidi kumulikwa kwa utepetevu
Na SAMMY WAWERU KAMPUNI ya usambazaji nguvu za umeme nchini ndiyo Kenya Power inaendelea kumulikwa kutokana na utepetevu wake. Wakazi...
Utepetevu Kenya Power ulivyoiletea familia mahangaiko
HELLEN SHIKANDA, FAUSTINE NGILA Na SAMMY WAWERU Petronilla Muchele ni mama mwenye huzuni, huku uso wake ukieleza bayana...
Kupungua kwa thamani ya shilingi kuwaongezea mzigo watumiaji stima Desemba
Na CHARLES WASONGA WAKENYA wataongezewa mzigo mkubwa wa bili za stima mwishoni mwa msimu wa sherehe za Krismasi kutokana na kodorora kwa...
- by adminleo
- May 19th, 2020
YASIKITISHA: Badala ya mwangaza nyaya za stima zasababisha maafa mtaa wa mabanda wa Bangladesh
Na WINNIE ATIENO NYAYA za stima zinaning'inia vibaya katika nyumba za wakazi wa mtaa wa mabanda wa Bangladesh, Mombasa na watoto...
- by adminleo
- April 7th, 2020
Kenya Power yakaidi waziri na kukatia kampuni ya maji umeme
Na Waikwa Maina KAMPUNI ya Umeme ya Kenya (KPLC) Jumatatu ilikatiza huduma za umeme unaosaidia kusambaza maji katika Kaunti ya...
- by adminleo
- February 17th, 2020
Kenya Power yatahadharisha wakazi kuhusu walaghai
Na Mishi Gongo KAMPUNI ya Kenya Power imeonya kuhusu ongezeko la wizi wa mita pamoja na watu waliowalaghai wakazi Pwani kwa kujifanya...
- by adminleo
- October 2nd, 2019
Sababu ya Kenya Power kubadilisha jina
Na MARY WANGARI Ni rasmi sasa! Taasisi ya umma ya Kenya Power and Lighting Company Limited ina jina jipya. Hii ni baada ya shirika...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Wafanyakazi waliouza umeme wa Kenya Power kwa bei nafuu wafutwa
NA CHARLES WASONGA KAMPUNI ya kusambaza umeme nchini, Kenya Power (KP)imefichua imewafuta kazi wafanyakazi wake 13 waliwauzia wateja...
- by adminleo
- July 3rd, 2019
Wakazi walia Kenya Power iliwabomolea nyumba 500 kinyume cha sheria
Na PETER MBURU WABUNGE wa Kamati ya Kawi Ijumaa watazuru eneo la Chokaa, Embakasi Mashariki, Kaunti ya Nairobi kushuhudia jinsi kampuni...
- by adminleo
- April 16th, 2019
Meneja wa Kenya Power asukumwa kwa kona
Na RICHARD MUNGUTI MENEJA wa mauzo katika kampuni ya umeme ya Kenya Power (KP) Jumanne alifichua aliongeza kampuni nne ambazo...
- by adminleo
- December 20th, 2018
Wanahabari huru kuangazia kesi ya ufisadi inayokabili Kenya Power
Na RICHARD MUNGUTI JARIBIO la Mkurugenzi wa Uchunguzi (DCI) wa Jinai kuzima vyombo vya habari kuchapisha habari kuhusu kesi ya ununuzi...
- by adminleo
- November 2nd, 2018
Wakazi wa Lamu kunufaika na huduma za Kenya Power
Na BERNARDINE MUTANU Kampuni ya Kenya Power imeanzisha ushirika kati yake na Serikali ya Kaunti ya Lamu kwa lengo la kuimarisha maisha ya...