• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 2:59 PM

Faida ya Kenya Power yaanza kuporomoka

Na BERNARDINE MUTANU Kampuni ya Umeme ya Kenya Power imetoa onyo la faida. Kampuni hiyo ilionya kuwa mapato yake yatapungua kwa asilimia...

Mwezi mmoja kuwasilisha malalamishi yako kwa Kenya Power

Na BERNARDINE MUTANU Wateja wa umeme wana mwezi mmoja kuwasilisha malalamishi kwa kampuni ya umeme ya Kenya Power. Malalamishi hayo ni...

Sakata ya Kenya Power yaudhi Benki ya Dunia

NA RICHARD MUNGUTI KASHFA ya uteuzi wa kampuni za kutoa huduma za uchukuzi na uwekezaji kwa Kenya Power (KP) imeudhi Benki ya Dunia (WB),...

Washukiwa 9 wa Kenya Power wasakwa na DCI

Na BERNARDINE MUTANU Wachunguzi wa uhalifu wanawatafuta washukiwa tisa wanaohusishwa wizi na uuzaji wa mali ya kampuni ya umeme ya Kenya...

Jela miaka 10 kwa kuvuruga mfumo wa Kenya Power

Na BERNARDINE MUTANU MAHAKAMA moja jijini Mombasa Jumatano iliwahukumu wanaume wawili miaka 10 jela au dhamana ya Sh5 milioni kwa kuharibu...

Wakurugenzi waliopunja Kenya Power Sh14.4m kutiwa nguvuni

Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA 11 wa kampuni zilizouzia kampuni ya stima ya Kenya Power bidhaa Jumatano waliagizwa watiwe nguvuni kwa...

Mama na mwanawe wakana kuuzia Kenya Power transfoma feki

Na RICHARD MUNGUTI MAMA na mtoto waliokuwa nchini Uingereza Jumatatu walishtakiwa kwa kashfa ya mauzo ya transfoma feki kwa kampuni ya...

Stima zatoweka kortini kesi ya wakuu wa Kenya Power ikiendelea

Na RICHARD MUNGUTI TAA zilizimika ghafla Jumanne asubuhi katika mahakama ya Milimani jijini Nairobi wakati kesi dhidi ya wakuu wa Kenya...

Wakuu wa Kenya Power walala ndani

Na Richard Munguti MKURUGENZI mkuu wa kampuni ya kusambaza nguvu za umeme nchini Kenya Power & Lighting (KPLC) DkT Ken Tarus ,...

UMEME KWA WOTE: Bei ghali yazidi kulemaza mpango

Na VALENTINE OBARA BI ANNE Mueni ni mfanyabiashara anayemiliki hoteli katika eneo la Burani, Kaunti ya Kwale, ambaye ameamua kutegemea...

UFISADI: Wafanyakazi 18 wa Kenya Power wapigwa kalamu

Na CECIL ODONGO WAFANYAKAZI 18 wanaoshukiwa kuhusika na utoaji zabuni kwa mapendeleo katika kampuni ya umeme ya Kenya Power, wamefutwa...

Huenda City Hall ikaadhibiwa vikali na Kenya Power

Na BERNARDINE MUTANU HUENDA serikali ya kaunti ya Nairobi ikakatiwa umeme na kampuni ya Kenya Power kutokana na bili kubwa. Mahakama...