Tag: kenya power
- by adminleo
- October 23rd, 2018
Faida ya Kenya Power yaanza kuporomoka
Na BERNARDINE MUTANU Kampuni ya Umeme ya Kenya Power imetoa onyo la faida. Kampuni hiyo ilionya kuwa mapato yake yatapungua kwa asilimia...
- by adminleo
- October 23rd, 2018
Mwezi mmoja kuwasilisha malalamishi yako kwa Kenya Power
Na BERNARDINE MUTANU Wateja wa umeme wana mwezi mmoja kuwasilisha malalamishi kwa kampuni ya umeme ya Kenya Power. Malalamishi hayo ni...
- by adminleo
- October 3rd, 2018
Sakata ya Kenya Power yaudhi Benki ya Dunia
NA RICHARD MUNGUTI KASHFA ya uteuzi wa kampuni za kutoa huduma za uchukuzi na uwekezaji kwa Kenya Power (KP) imeudhi Benki ya Dunia (WB),...
- by adminleo
- August 25th, 2018
Washukiwa 9 wa Kenya Power wasakwa na DCI
Na BERNARDINE MUTANU Wachunguzi wa uhalifu wanawatafuta washukiwa tisa wanaohusishwa wizi na uuzaji wa mali ya kampuni ya umeme ya Kenya...
- by adminleo
- August 24th, 2018
Jela miaka 10 kwa kuvuruga mfumo wa Kenya Power
Na BERNARDINE MUTANU MAHAKAMA moja jijini Mombasa Jumatano iliwahukumu wanaume wawili miaka 10 jela au dhamana ya Sh5 milioni kwa kuharibu...
- by adminleo
- August 8th, 2018
Wakurugenzi waliopunja Kenya Power Sh14.4m kutiwa nguvuni
Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA 11 wa kampuni zilizouzia kampuni ya stima ya Kenya Power bidhaa Jumatano waliagizwa watiwe nguvuni kwa...
- by adminleo
- August 8th, 2018
Mama na mwanawe wakana kuuzia Kenya Power transfoma feki
Na RICHARD MUNGUTI MAMA na mtoto waliokuwa nchini Uingereza Jumatatu walishtakiwa kwa kashfa ya mauzo ya transfoma feki kwa kampuni ya...
- by adminleo
- July 18th, 2018
Stima zatoweka kortini kesi ya wakuu wa Kenya Power ikiendelea
Na RICHARD MUNGUTI TAA zilizimika ghafla Jumanne asubuhi katika mahakama ya Milimani jijini Nairobi wakati kesi dhidi ya wakuu wa Kenya...
- by adminleo
- July 17th, 2018
Wakuu wa Kenya Power walala ndani
Na Richard Munguti MKURUGENZI mkuu wa kampuni ya kusambaza nguvu za umeme nchini Kenya Power & Lighting (KPLC) DkT Ken Tarus ,...
- by adminleo
- May 29th, 2018
UMEME KWA WOTE: Bei ghali yazidi kulemaza mpango
Na VALENTINE OBARA BI ANNE Mueni ni mfanyabiashara anayemiliki hoteli katika eneo la Burani, Kaunti ya Kwale, ambaye ameamua kutegemea...
- by adminleo
- May 29th, 2018
UFISADI: Wafanyakazi 18 wa Kenya Power wapigwa kalamu
Na CECIL ODONGO WAFANYAKAZI 18 wanaoshukiwa kuhusika na utoaji zabuni kwa mapendeleo katika kampuni ya umeme ya Kenya Power, wamefutwa...
- by adminleo
- May 17th, 2018
Huenda City Hall ikaadhibiwa vikali na Kenya Power
Na BERNARDINE MUTANU HUENDA serikali ya kaunti ya Nairobi ikakatiwa umeme na kampuni ya Kenya Power kutokana na bili kubwa. Mahakama...