Tag: MAONI
WASONGA: Mwanasheria Mkuu Kihara Kariuki afutwe kwa utepetevu
Na CHARLES WASONGA AFISI ya Mwanasheria Mkuu ni muhimu zaidi katika utendakazi wa serikali ya Kenya kwa sababu mshikilizi wa afisi hiyo...
ONYANGO: BBI: Hisia za wanasiasa zadhihirisha unafiki wao
Na LEONARD ONYANGO UAMUZI wa Mahakama Kuu iliyobatilisha Mswada wa Marekebisho ya Katiba 2020, almaarufu Mpango wa Maridhiano (BBI),...
WANGARI: Mitihani isiwe kipimo cha wanafunzi kufaulu au kufeli maishani
Na MARY WANGARI KWA muda sasa, tangu matokeo ya KCSE yalipotangazwa, vyombo vya habari vimekuwa vikiangazia shule zilizotia fora kwa...
WARUI: Elimu: Serikali itambue mchango wa shule za kibinafsi
Na WANTO WARUI MATOKEO ya mtihani wa kitaifa wa Kidato cha Nne, KCSE yaliyotangazwa juma lililopita yalizua hisia mbalimbali kwa watu...
WANYAMA: BBI: Uamuzi wa korti waweza kukosolewa
Na PETER WANYAMA MNAMO Mei 14, 2021, majaji watano wa Mahakama Kuu walitoa uamuzi wa pamoja wa kuzima Mswada wa Marekebisho ya Katiba wa...
MUTUA: Ndoa, talaka na fumbo linaloitwa mapenzi
Na DOUGLAS MUTUA KUMBE matatizo ya wanaume - na wanawake vile vile – ni mamoja kote duniani? Kumbe ndoa, ya kizungu au kiafrika, ni...
KAMAU: Rais Suluhu ni mwanga halisi kuikomboa Afrika Mashariki
Na WANDERI KAMAU NI wazi kuwa Rais Samia Suluhu wa Tanzania ndiye mwanga uliohitajika kufufua tena mshikamano uliokuwa umevurugika...
MATHEKA: Kanuni za kuzuia maambukizi ya corona shuleni zikazwe
Na BENSON MATHEKA SHULE zinapofunguliwa Jumatatu, kuna mambo kadhaa ambayo wadau wanafaa kutilia maanani kuzingatia kwa usalama wa...
WASONGA: Raila anaelekea kugeuza ODM chama cha kikabila
Na CHARLES WASONGA KUNG’ATULIWA kwa Mbunge wa Rarieda, wakili Otiende Amollo, kutoka wadhifa muhimu wa Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya...
KAMAU: Ndoa: Waafrika wajifunze kutokana na Wazungu
Na WANDERI KAMAU CHANZO cha vifo vingi katika kizazi cha sasa ni ghasia zinazotokana na tofauti baina ya wanandoa. Kila siku imegeuka...
KINYUA BIN KING’ORI: Usawa wa kimaeneo utekelezwe tuachane na ukabila
Na KINYUA BIN KING'ORI MOJAWAPO ya manufaa makubwa ambayo Wakenya waliyatarajia kwa haraka kutokana na ujio wa katiba mpya ya 2010 ni...
WANGARI: Maslahi ya Wakenya wanaougua Ukimwi yasipuuzwe
Na MARY WANGARI ENDAPO kuna watu ambao wamegubikwa na taharuki katika siku za hivi majuzi, basi ni Wakenya 1.5 milioni wanaougua ukimwi...