Tag: Martha Karua
- by T L
- July 15th, 2022
Ufisadi: Karua atia ahadi yake doa kuu
NA WANDERI KAMAU MGOMBEA mwenza wa urais wa muungano wa Azimio, Bi Martha Karua ameonekana kuteleza kuhusu ahadi zake za kukabiliana na...
- by T L
- July 14th, 2022
Urais: Midahalo ya wawaniaji wenza wa mirengo tofauti itafanyika Julai 19
NA CHARLES WASONGA MIDAHALO kati ya wagombea wenza kwenye kinyang'anyiro cha urais itafanyika Jumanne, Julai 19, 2022, katika Chuo Kikuu...
- by T L
- May 27th, 2022
Wafuasi wa Ruto wahofia wimbi la Karua
NA WANDERI KAMAU HATUA ya mwanasiasa Mwangi Kiunjuri kuwarai wenyeji wa Mlima Kenya kuwapigia kura viongozi bila kujali vyama vyao,...
- by T L
- May 17th, 2022
Kwa kuteua Karua, Raila alenga kura za wakazi wa Mlima Kenya, wanawake
JUSTUS OCHIENG NA BENSON MATHEKA HATUA ya mwaniaji urais wa muungao wa Azimio, Raila Odinga kumteua Bi Martha Karua kuwa mwaniaji wake...
- by T L
- May 13th, 2022
Karua, Mudavadi wapendwa zaidi kwa unaibu rais
NA LEONARD ONYANGO KIONGOZI wa Amani National Congress (ANC), Musalia Mudavadi na mwenzake wa Narc Kenya, Martha Karua ndio...
- by T L
- January 30th, 2022
Karua ajiunga na OKA akiahidi kutumikia nchi vyema wakishinda urais
Na PIUS MAUNDU SIKU chache tu baada ya Musalia Mudavadi (ANC) na Moses Wetang’ula (Ford Kenya) kuhama OKA, Muungano huo umepigwa jeki...
- by T L
- October 24th, 2021
JAMVI: Limuru III: Changamoto tele Mlima ukijaribu kuja pamoja
Na WANDERI KAMAU JUHUDI za kuliunganisha eneo la Mlima Kenya ielekeapo 2022 zinaonekana kukumbwa na changamoto tele, wadadisi wakisema...
Atakubali mistari ya Raila?
Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga anapojiandaa kutangaza rasmi azma yake ya kugombea urais mwaka 2022, imeibuka...
Mlima Kenya ‘kuwatahini’ wawaniaji wa urais 2022
Na MACHARIA MWANGI VIONGOZI wa Mlima Kenya wataandaa orodha ya maswali watakayotumia kuwapiga msasa wawaniaji wa urais kabla ya...
Karua aongoza Mlima kujipanga
Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha Narc Kenya, Martha Karua na wenzake wa Chama cha Kazi Moses Kuria na Mwangi Kiunjuri wa The...
BBI: Karua adai Uhuru alinyakua mamlaka ya raia
Na RICHARD MUNGUTI KIONGOZI wa chama cha Narc Kenya, Bi Martha Karua, na wakili mashuhuri John Khaminwa, Ijumaa waliongoza mawakili 10...
Vigogo wapigania Karua kuunda muungano naye
Na BENSON MATHEKA MSIMAMO imara wa kisiasa wa kiongozi wa chama cha NARC- Kenya, Martha Karua, umevutia baadhi ya wagombea urais...