• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 5:50 AM

Mawaziri wamng’ang’ania Raila shereheni

Na CHARLES WASONGA MAWAZIRI mbalimbali jana walimlaki kwa heshima kuu kiongozi wa ODM, Raila Odinga alipowasili kwa sherehe za kitaifa...

Miraa: Raila aahidi kutafutia wakuzaji soko akiingia ikulu

Na MARY WANGARI KIONGOZI wa Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga ameahidi kutafutia wakulima wa miraa soko katika nchi za...

Raila kukita kambi ngome yake Ruto

ONYANGO K’ONYANGO na BARNABAS BII KIONGOZI wa ODM, Raila Odinga wiki ijayo anatarajiwa kukita kambi katika ngome ya Naibu Rais William...

Raila atetea mali fiche ya Uhuru

Na WANDERI KAMAU KIONGOZI wa ODM, Raila Odinga, Jumatano alimtetea vikali Rais Uhuru Kenyatta baada ya kutajwa kuwa miongoni mwa...

Watoto wa marais wakwama na Raila

Na JUSTUS OCHIENG FAMILIA za marais watatu walioongoza Kenya tangu uhuru zimeshikana kumuunga mkono kiongozi wa ODM Raila Odinga kuwania...

Viongozi Mlima Kenya wampa Raila matakwa

Na JAMES MURIMI VIONGOZI wa eneo la Mlima Kenya wamewasilisha kwa kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga, orodha ya mambo wanayotaka ili...

Tope la Jubilee latesa Raila

WANDERI KAMAU na LEONARD ONYANGO DHAMBI zilizotendwa na serikali ya Jubilee zinatishia umaarufu wa kiongozi wa ODM Raila Odinga huku...

Wapuuza Uhuru

VITALIS KIMUTAI na BENSON MATHEKA WANASIASA wamedhihirisha kuwa kamwe hawako tayari kutii amri ya Rais Uhuru Kenyatta aliyepiga marufuku...

Pendekezo barabara ya jiji la Nairobi ipewe jina la Raila

Na COLLINS OMULO KIONGOZI wa Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga huenda akawa kiongozi mpya kupata barabara...

Wakenya Twitter wakerwa na kimya cha Raila bei ya mafuta ikipanda

NA WANGU KANURI WAKENYA katika mtandao wa kijamii wa Twitter wameshangazwa na kimya cha kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga wakati...

Raila na Mudavadi wamenyania kura za Magharibi

Na SHABAN MAKOKHA WANASIASA wakuu nchini wameanza kujivumisha miongoni mwa wakazi wa eneo la Magharibi, huku wakilenga kura nyingi za...

Wilbaro, Chungwa vyazua mabishano

Na JUSTUS OCHIENG Naibu Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM Raila Odinga sasa wanalaumiana kuhusu alama na kauli mbiu za vyama vyao...