Tag: raila odinga
- by T L
- November 25th, 2021
Raila kushiriki NDC ya Wiper
Na JUSTUS OCHIENG KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga, leo anatarajiwa kuhudhuria kongamano la kitaifa la wajumbe wa chama cha Wiper...
- by T L
- November 21st, 2021
Ngome 4 zawanyima usingizi
Na BENSON MATHEKA WAGOMBEAJI WAKUU wa urais kwenye uchaguzi mkuu wa 2022, Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga,...
- by T L
- November 16th, 2021
Mchujo wamtia Raila baridi
Na WAANDISHI WETU KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, ameonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu uwezekano wa umaarufu wa chama hicho...
- by T L
- November 15th, 2021
Raila aahidi kuigeuza Lamu iwe ‘Dubai ya Afrika’
Na KALUME KAZUNGU KIONGOZI wa ODM, Raila Odinga, ameahidi kusukuma kuanzishwa kwa viwanda vikubwa vikubwa Lamu na kulibadilisha eneo...
- by T L
- November 12th, 2021
Raila ataka Chebukati kuomba Kenya radhi
Na LEONARD ONYANGO KIONGOZI WA ODM Raila Odinga sasa anamtaka mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Wafula Chebukati,...
- by T L
- November 7th, 2021
Raila kutangaza ikiwa atawania urais Desemba 9
Na CHARLES WASONGA WAZIRI Mkuu wa zamani Raila Odinga ametangaza kuwa atatangaza rasmi azma yake ya urais mnamo Desemba 9,...
- by T L
- November 7th, 2021
Uhuru aliwapuuza waliotaka nishtakiwe kwa kosa la uhaini – Raila
Na CHARLES WASONGA HATIMAYE kiongozi wa ODM amefichua kuwa ni Rais Uhuru Kenyatta aliyemwokoa kutokana na hatari ya kushtakiwa kwa kosa...
- by T L
- November 5th, 2021
Raila atarajiwa Nyandarua kwa kampeni kali
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga anatarajiwa kuhutubia msururu wa mikutano 10 katika eneo la Mlima Kenya kuanzia...
- by T L
- November 1st, 2021
ODM Magharibi wataka tiketi ya Raila-Oparanya
Na SHABAN MAKOKHA KINARA wa ODM Raila Odinga anakabiliwa na kibarua kigumu cha kumteua mgombeaji mwenza wake huku wandani wake kutoka...
- by T L
- October 31st, 2021
Walilia vijana kupiga Raila jeki kwa kujisajili kura
Na GEORGE ODIWUOR WASHIRIKA wa Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga, wamewalilia vijana wa Nyanza na Mlima Kenya,...
- by T L
- October 26th, 2021
Raila alilia vijana Nyanza wajisajili kwa kura za 2022
Na WAANDISHI WETU KINARA wa ODM, Raila Odinga jana alirejea nyumbani kuwalilia vijana katika eneo la Nyanza kujisajili kuwa wapigakura...
- by T L
- October 26th, 2021
CECIL ODONGO: Raila akiacha dhana ya ‘mradi’ ishike atajilaumu
Na CECIL ODONGO KINARA wa ODM Raila Odinga na wandani wake wanafaa waweke mikakati ya kukabiliana na dhana inayoendelezwa na mrengo wa...