Tag: ruto
Ruto ataka Raila abebe ‘dhambi’ kadhaa za Jubilee
Na LEONARD ONYANGO NAIBU wa Rais William Ruto anataka kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga akome kujitenga na changamoto zinazokumba taifa...
Ruto kuhudhuria sherehe za ushindi Msambweni leo
Na BRIAN OCHARO NAIBU Rais William Ruto anatarajiwa kuzuru kaunti ya Kwale kuongoza sherehe za ushindi wa Mbunge wa Msambweni Feisal...
Siogopi kukabili Ruto debeni 2022 – Raila
Na WANDERI KAMAU KIONGOZI wa chama cha ODM, Bw Raila Odinga, amesema kuwa haogopi ushindani wa kisiasa kutoka kwa Naibu Rais William...
Ruto akutana na Feisal baada ya kushinda kiti cha Msambweni
Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto Jumatano alifanya mkutano na viongozi wa mashinani kutoka eneo bunge la Msambweni...
CECIL ODONGO: Raila na Ruto wasiamulie wananchi viongozi wao
Na CECIL ODONGO ? NAIBU Rais Dkt William Ruto na Kinara wa ODM Raila Odinga hawafai kutumia ushawishi wao wa kisiasa kuwaamulia raia...
Ruto akwepa siasa na kuangazia corona
Na LUCY MKANYIKA NAIBU Rais William Ruto alikwepa kuzungumzia siasa alipozuru Kaunti ya Taita Taveta, Jumapili na badala yake...
AFYA: Ruto amsuta Raila
Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto amemshutumu aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga kwa kudunisha matakwa ya wahudumu wa afya...
Karata ya Naibu Rais kusukuma refarenda 2022
Na WANDERI KAMAU LENGO kuu la Naibu Rais William Ruto kuhusu pingamizi lake dhidi ya marekebisho ya katiba lilifichuka Jumatano, baada...
Ruto amhepa Uhuru tena
Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto jana Jumatano alikosa kuhudhuria hafla ya uzinduzi wa shughuli ya ukusanyaji wa sahihi za...
Ruto azima uvumi kuhusu alikokuwa amekwenda
Na CHARLES WASONGA MASWALI kuhusu alikozuru Naibu Rais William Ruto yalipata majibu baada kiongozi huyo kufichua Jumamosi yuko...
BBI: Raila azima sherehe ya Ruto
VALENTINE OBARA na LEONARD ONYANGO KINARA wa ODM, Bw Raila Odinga, amepuuzilia mbali viongozi waliokuwa na matumani kwamba, ripoti ya...
Ruto aingiwa na baridi kesi yake ya ICC ikifufuliwa
Na BENSON MATHEKA ?HATUA ya Naibu Rais William Ruto ya kusitisha mikutano yake ya kisiasa, imeibua hofu kwamba, ameingiza baridi...