Tag: uganda
- by adminleo
- July 25th, 2020
Binti akasirisha baba kwa kuamua kumpinga kisiasa
Na DAILY MONITOR HUKU joto la uchaguzi likiendelea kupanda nchini Uganda, mwanasiasa mmoja amemuasi bintiye aliyetangaza azma ya...
- by adminleo
- June 17th, 2020
Mpango wa kuwarudisha nyumbani Waganda waliokwama ughaibuni wakwama
NA DAILY MONITOR Serikali ya Uganda imeahirisha mpango wa kuwarudisha nyumbani wananchi wake ambao wamekwama nchi za nje, Wizara ya afya...
- by adminleo
- May 24th, 2020
Madereva kutoka Kenya wadai wanawekwa katika vituo duni vya karantini Uganda
Na WINNIE ATIENO WAWEKEZAJI katika sekta ya uchukuzi nchini wameishtumu serikali kwa kushindwa kuwalinda dhidi ya changamoto ambazo...
- by adminleo
- November 6th, 2019
Taharuki UG wafuasi wa upinzani wakikamatwa
Na AFP IDADI isiyojulikana ya wafuasi wa upinzani Uganda, akiwemo aliyekuwa mgombea urais Dkt Kizza Besigye, wanazuiliwa na polisi...
- by adminleo
- October 14th, 2019
Besigye, Bobi Wine katika kikao cha siri kuhusu 2021
Na ERIASA MUKIIBI SSERUNJOGI, DAILY MONITOR KAMPALA, UGANDA IMEFICHUKA kwamba Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Dkt Kizza Besigye na...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Serikali ya Museveni yapitisha kuundwa kwa Baraza Kuu la Kiswahili
NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA SERIKALI imeidhinisha hoja ya kutaka kubuniwa kwa Baraza la Kitaifa la Kiswahili litakalotoa mwongozo...
- by adminleo
- August 13th, 2019
Kisasi Kenya, UG zikionana katika mchujo wa raga
Na GEOFFREY ANENE KENYA na Uganda zitafufua uhasama wao kwenye raga wakati Lionesses itavaana na Lady Cranes katika mechi yao ya pili ya...
- by adminleo
- July 5th, 2019
JANDONI: Uganda katika mizani raundi ya 16-bora ikianza
Na MASHIRIKA CAIRO, Misri MECHI za muondoano za hatua ya 16-bora za AFCON zitaanza rasmi leo Ijumaa hadi Jumatatu katika viwanja...
- by adminleo
- June 11th, 2019
Mpaka kati ya Rwanda na Uganda wafunguliwa
Na AFP SERIKALI ya Rwanda hatimaye imefungua mpaka wake na Uganda katika eneo la Gatuna ili kuruhusu magari yanayobeba bidhaa kupita na...
- by adminleo
- May 29th, 2019
Warwanda wawili wakamatwa UG wakiendesha ujasusi
Na DAILY MONITOR MAAFISA wa usalama wa Uganda wamekamata wanajeshi wawili wa Rwanda kwa madai ya kuingia nchini humo kukusanya taarifa...
- by adminleo
- April 7th, 2019
Mshangao watoto wa miaka 9 na 6 kufunga ndoa
Na PHILIP WAFULA WAKAZI wa kijiji cha Nakapyata, Baraza la Mji wa Buyende, Wilaya ya Buyende mashariki mwa Uganda, wamestaajabisha wengi...
- by adminleo
- March 26th, 2019
FAHARI TELE: Historia mataifa yote ya Afrika Mashariki kutua fainali AFCON
Na MASHIRIKA DAR ES SALAAM, TANZANIA TANZANIA waliwapepeta Uganda 3-0 jijini Dar es Salaam mnamo Jumapili na kufuzu kwa fainali za Kombe...