• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 8:50 AM

Raia wa Uganda waliolemewa kulipa hoteli kusukumwa ndani

Na RICHARD MUNGUTI RAIA wawili wa Uganda Alhamisi walioshindwa kulipa gharama ya malazi katika hoteli moja jijiji Nairobi sasa watalala...

UCHUMI: Uganda yapaa Kenya ikichechemea

Na BENSON MATHEKA Kwa Muhtasari: Wakenya wanaendelea kununua bidhaa kwa wingi kutoka Uganda badala ya kununua zinazotengenezewa...

Grace Msalame kushtaki UG kwa kutumia picha zake kuvumisha utalii

Na WYCLIFFE MUIA MPANGO wa serikali ya Uganda wa kugeuza wanawake wanene kuwa kivutio cha kitalii, umeingia doa baada ya mtangazaji...

UG sasa kutumia wanawake warembo kuvutia watalii

DAILY MONITOR Na PETER MBURU SERIKALI ya Uganda kupitia Wizara ya Utalii imeamua kuwatumia wanawake wenye mili ya kuvutia na umbo mduara...

Mfanyakazi adukua mitambo ya serikali ya Museveni na kuhepa na data ya siri

DAILY MONITOR Na PETER MBURU MADAI yameibuka kuwa mtu aliyedukua mitambo ya Wizara ya Leba nchini Uganda na kuiba taarifa za siri zenye...

UGANDA: Onyo kwa viongozi dhalimu mapinduzi yaja!

Na WANDERI KAMAU KATIKA historia, mapinduzi ya kiraia yamechangia pakubwa kung'atuliwa ya viongozi wa kiimla wanaokwamilia...

Korti yatoa mwanya kwa Museveni kutawala maisha

Na AFP RAIS Yoweri Museveni wa Uganda anaelekea kuwa rais wa maisha baada ya mahakama kuidhinisha mabadiliko ya kikatiba ya kuondoa...

Afueni kwa mabinti 22 wa UG walionaswa Kenya wakisafiri Dubai

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA imefuta mashtaka dhidi ya wasichana 22 raia wa Uganda waliotiwa nguvuni Kenya wakiwa na paspoti feki za...

Jeshi la Uganda lazidi kuhangaisha Wakenya Ziwa Victoria

RUSHDIE OUDIA, BARACK ODUOR na ELISHA OTIENO TAHARUKI imetanda katika visiwa vilivyo Ziwa Victoria kufuatia kukamatwa kwa wavuvi...

Baada ya Uganda kukamata polisi 3 wa Kenya, Kenya nayo yakamata raia 53 wa Uganda

Na GAITANO PESSA POLISI mjini Busia wanawazuilia watu 53 wanaoshukiwa kuwa raia wa Uganda kwa kuwa nchini kinyume cha sheria. Kundi...

Wafanyakazi wa serikali wasiofika kazini kukatwa mshahara kila siku wanayosusia

Na VALENTINE OBARA KAMPALA, UGANDA SERIKALI itaanza kulipa watumishi wa umma kwa siku ambazo watafanya kazi badala ya kupewa mishahara...

Majambazi waitisha matiti 540 ya wanawake

Na VALENTINE OBARA JINJA, UGANDA TAHARUKI imetanda katika Wilaya ya Jinja baada ya majambazi kutupa barua katika vijiji vitano wakitaka...