Tag: uganda
- by adminleo
- March 22nd, 2019
Raia wa Uganda waliolemewa kulipa hoteli kusukumwa ndani
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wawili wa Uganda Alhamisi walioshindwa kulipa gharama ya malazi katika hoteli moja jijiji Nairobi sasa watalala...
- by adminleo
- February 20th, 2019
UCHUMI: Uganda yapaa Kenya ikichechemea
Na BENSON MATHEKA Kwa Muhtasari: Wakenya wanaendelea kununua bidhaa kwa wingi kutoka Uganda badala ya kununua zinazotengenezewa...
- by adminleo
- February 7th, 2019
Grace Msalame kushtaki UG kwa kutumia picha zake kuvumisha utalii
Na WYCLIFFE MUIA MPANGO wa serikali ya Uganda wa kugeuza wanawake wanene kuwa kivutio cha kitalii, umeingia doa baada ya mtangazaji...
- by adminleo
- February 6th, 2019
UG sasa kutumia wanawake warembo kuvutia watalii
DAILY MONITOR Na PETER MBURU SERIKALI ya Uganda kupitia Wizara ya Utalii imeamua kuwatumia wanawake wenye mili ya kuvutia na umbo mduara...
- by adminleo
- January 31st, 2019
Mfanyakazi adukua mitambo ya serikali ya Museveni na kuhepa na data ya siri
DAILY MONITOR Na PETER MBURU MADAI yameibuka kuwa mtu aliyedukua mitambo ya Wizara ya Leba nchini Uganda na kuiba taarifa za siri zenye...
- by adminleo
- August 23rd, 2018
UGANDA: Onyo kwa viongozi dhalimu mapinduzi yaja!
Na WANDERI KAMAU KATIKA historia, mapinduzi ya kiraia yamechangia pakubwa kung'atuliwa ya viongozi wa kiimla wanaokwamilia...
- by adminleo
- July 30th, 2018
Korti yatoa mwanya kwa Museveni kutawala maisha
Na AFP RAIS Yoweri Museveni wa Uganda anaelekea kuwa rais wa maisha baada ya mahakama kuidhinisha mabadiliko ya kikatiba ya kuondoa...
- by adminleo
- July 24th, 2018
Afueni kwa mabinti 22 wa UG walionaswa Kenya wakisafiri Dubai
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA imefuta mashtaka dhidi ya wasichana 22 raia wa Uganda waliotiwa nguvuni Kenya wakiwa na paspoti feki za...
- by adminleo
- June 18th, 2018
Jeshi la Uganda lazidi kuhangaisha Wakenya Ziwa Victoria
RUSHDIE OUDIA, BARACK ODUOR na ELISHA OTIENO TAHARUKI imetanda katika visiwa vilivyo Ziwa Victoria kufuatia kukamatwa kwa wavuvi...
- by adminleo
- June 13th, 2018
Baada ya Uganda kukamata polisi 3 wa Kenya, Kenya nayo yakamata raia 53 wa Uganda
Na GAITANO PESSA POLISI mjini Busia wanawazuilia watu 53 wanaoshukiwa kuwa raia wa Uganda kwa kuwa nchini kinyume cha sheria. Kundi...
- by adminleo
- May 23rd, 2018
Wafanyakazi wa serikali wasiofika kazini kukatwa mshahara kila siku wanayosusia
Na VALENTINE OBARA KAMPALA, UGANDA SERIKALI itaanza kulipa watumishi wa umma kwa siku ambazo watafanya kazi badala ya kupewa mishahara...
- by adminleo
- May 23rd, 2018
Majambazi waitisha matiti 540 ya wanawake
Na VALENTINE OBARA JINJA, UGANDA TAHARUKI imetanda katika Wilaya ya Jinja baada ya majambazi kutupa barua katika vijiji vitano wakitaka...