• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 3:25 PM

Rais Kenyatta kulihutubia taifa akiwa bungeni Novemba 12

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta anatarajiwa kutoa hotuba kuhusu hali ya taifa mbele ya kikao cha pamoja cha Bunge la Kitaifa na...

Uhuru asema uongozi wake unawajumuisha wanawake

Na CECIL ODONGO RAIS Uhuru Kenyatta amesema kwamba utawala wake bado unalenga kuhakikisha kwamba kuna usawa wa kijinsia na wanawake...

Msiogope kutukosoa, Rais aambia viongozi wa kidini nchini

JUMA NAMLOLA na PSCU RAIS Uhuru Kenyatta amewataka viongozi wa kidini wajitokeze waziwazi na kukemea maovu katika jamii. “Ongeeni...

Uhuru atua Kisumu kisiri

RUSHDIE OUDIA na CAROLINE WAFULA RAIS Uhuru Kenyatta Jumapili aliwashtua wakazi wa Kaunti ya Kisumu kwa kufanya ziara ya ghafla mjini...

Rais Kenyatta aamuru asasi za uchunguzi zitumie siku 21 kuchunguza ufisadi Kemsa

Na SAMMY WAWERU RAIS Uhuru Kenyatta amesema uchunguzi wa sakata ya ufisadi wa pesa za kukabiliana na Covid-19 katika Shirika la Serikali...

Huu ni mzaha tu!

Na TAIFA RIPOTA MAAFISA wakuu serikalini wakiongozwa na Rais Uhuru Kenyatta na Waziri wa Afya Mutahi Kagwe, wameendelea kuvunja kanuni...

Vigogo wa Nasa wapigana makumbo wakijipendekeza kwa Uhuru

Na BENSON MATHEKA Rais Uhuru Kenyatta anatabasamu huku viongozi wa vyama vya kisiasa wanaopaswa kuwa wakimulika serikali yake katika...

Uhuru aonya kliniki za mpango wa uzazi

Na MWANGI MUIRURI RAIS Uhuru Kenyatta ameamrisha makamishna wa kaunti watie nguvuni wahudumu wa afya katika hospitali za wamiliki...

Uhuru anavyotumia mawaziri kufufua umaarufu wake nchini

Na CHARLES WASONGA KATIKA kipindi cha majuma kadha yaliyopita mawaziri wa serikali wamekuwa wakizuru maeneo mbalimbali nchini wakikagua...

Wazee wa Gema wamkaidi Uhuru

Na MWANGI MUIRURI WAZEE wa jamii za Gikuyu, Embu na Meru (Gema), wamepinga mpango wa kuvunja muungano huo na nafasi yake kuchukuliwa na...

Simu ya video ya Rais yachangamsha kijiji

Na JOHN NJOROGE RAIS Uhuru Kenyatta alimshangaza mwanafunzi wa taasisi ya mafunzo ya elimu alipompigia simu kwa njia ya video...

Endeni sasa mtangatange, Uhuru aambia mawaziri wake

Na VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta sasa amewapa rasmi mawaziri wake ruhusa ya kutembelea sehemu zote za nchi kukagua miradi ya...