Author: T L
- by T L
- April 24th, 2024
Bodaboda wavuna mafuriko yakileta masumbuko na msongamano Thika Road
NA LABAAN SHABAAN BARABARA ya Thika Superhighway ilikuwa na sura tofauti asubuhi Jumatano magari mengi yakikwama kwenye msongamano...
- by T L
- April 24th, 2024
Wakazi wadai mrabaha kabla Base Titanium ifunganye virago
NA SIAGO CECE WAKAZI wa Kwale waliohamishwa ili kutoa nafasi kwa uchimbaji madini, wameitaka serikali kuharakisha kuweka mfumo...
- by T L
- April 24th, 2024
Kenya Power kulipa Woolworths Sh500m kufidia hasara ya moto Nakumatt
NA RICHARD MUNGUTI KAMPUNI ya kusambaza umeme nchini (Kenya Power au KPLC) imeagizwa na Mahakama Kuu ifidie kampuni ya Woolworths,...
- by T L
- April 24th, 2024
Waliouziwa mbolea feki waanza kulipwa fidia
BARNABAS BII Na KNA BODI ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB) imeanza kuwafidia wakulima waliouziwa mbolea feki. Mkurugenzi Mkuu wa NCPB,...
- by T L
- April 24th, 2024
Shakahola: Korti yaagiza washukiwa wapewe taarifa za ushahidi
NA BRIAN OCHARO MAHAKAMA ya Mombasa imeagiza kuwa, washukiwa katika kesi ya vifo vya Shakahola wapewe arafa za ushahidi utakaotumiwa...
- by T L
- April 24th, 2024
Polisi Kisii wanasa bangi ndani ya magari manne
NA WYCLIFFE NYABERI POLISI mjini Kisii wamenasa bangi ya thamani ya Sh37 milioni na kufanikiwa kumkamata mshukiwa mmoja. Mshukiwa huyo...
- by T L
- April 24th, 2024
Natembeya atisha kufuta madaktari na kuajiri wapya kutoka Uganda
NA EVANS JAOLA GAVANA wa Trans Nzoia George Natembeya ametishia kuwafuta kazi madaktari wa kaunti hiyo wanaogoma na kuajiri wapya kutoka...
- by T L
- April 24th, 2024
Mafuriko yazidi kutatiza maelfu onyo la mvua zaidi likitolewa
NA WAANDISHI WETU MAELFU ya watu wanateseka kwa kufurushwa makwao huku mvua kubwa inayonyesha kote nchini ikitabiriwa...
- by T L
- April 24th, 2024
Wito Afrika izinduke kukabiliana na maradhi yasiyo ya kuambukiza
NA PAULINE ONGAJI akiwa DAR ES SALAAM, TANZANIA BARA la Afrika linakodolea macho hatari huku maradhi yasiyo ya kuambukiza yakitabiriwa...
- by T L
- April 24th, 2024
Ogolla: Azimio yakaba serikali
Na WAANDISHI WETU MUUNGANO wa Azimio la Umoja-One Kenya sasa unataka uchunguzi wa kisheria uendeshwe kubaini chanzo cha ajali...
- by T L
- April 24th, 2024
Waoga wa maji hawawezani na raha za kisiwa cha Lamu
NA KALUME KAZUNGU IKIWA wewe ni mzoefu wa mazingira ya kawaida, hasa nchi kavu, na iwapo unaogopa kujaribu mandhari mapya kama yale ya...
- by T L
- April 24th, 2024
Wabunge kutoa heshima zao kwa marehemu Jenerali Ogolla
NA CHARLES WASONGA BUNGE la Kitaifa Jumatano litafanya kikao maalum cha kutoa heshima kwa marehemu Mkuu wa Majeshi (CDF) Jenerali...