Author: T L
- by adminleo
- August 10th, 2020
Mioto kwenye mbuga za kitaifa zatishia utalii
Na WINNIE ATIENO WAWEKEZAJI katika sekta ya utalii wameitaka Wizara ya Utalii na Wanyamapori nchini kutangaza mikasa ya moto katika...
- by adminleo
- August 10th, 2020
Kipchoge apanga njama ya kutia Bekele adabu London
Na GEOFFREY ANENE LICHA ya kuwa hajashindana kwa siku 300, mshikilizi wa rekodi ya dunia ya marathon za wanaume, Eliud Kipchoge anahisi...
- by adminleo
- August 10th, 2020
DIMBA PWANI: Ghaib wanalenga soka kuu ya kaunti Kwale ikiwa ni nje ya maskani yao Samburu
Na ABDULRAHMAN SHERIFF INGAWA imetimiza mwaka wake wa 28 tangu kuundwa, Ghaib FC ya mjini Samburu, ni hadi msimu utakaoanza baadaye...
- by adminleo
- August 10th, 2020
Kundi lawapa vijana mafunzo kama njia mojawapo ya kuzuia mimba za mapema
Na DIANA MUTHEU KUNDI moja la vijana katika Kaunti ya Mombasa limeanzisha mpango wa kuwapa mawaidha watoto kuhusu athari hasi za kufanya...
- by adminleo
- August 10th, 2020
Waziri aitunuka sifa Kisumu kwa kiwango cha juu cha usafi
Na SAMMY WAWERU KAUNTI ya Kisumu imepongezwa kwa kudumisha usafi katika kiwango cha hali ya juu. Kati ya kaunti ambazo Waziri wa Afya...
- by adminleo
- August 10th, 2020
UDAKU: Kipa mkongwe Neuer kanasa kimanzi tineja
Na MWANDISHI WETU KIPA matata wa Bayern Munich, Manuel Neuer amezua gumzo kubwa nchini Ujerumani baada ya kujinasia penzi motomoto la...
- by adminleo
- August 10th, 2020
COVID-19: Amerika yashauri raia wake waepuke Kenya ikiwezekana
Na BENSON MATHEKA AMERIKA imeonya raia wake dhidi ya kutembelea Kenya ikisema kwamba wanakabiliwa na hatari ya kuambukizwa virusi vya...
- by adminleo
- August 10th, 2020
Raila asukumwa awe Rais
Na WAANDISHI WETU SHINIKIZO za kumtaka kiongozi wa chama cha ODM, Bw Raila Odinga awanie urais zimeongezeka licha ya kigogo huyo wa...
- by adminleo
- August 10th, 2020
HAWANA BAHATI: Barcelona na Bayern Munich kukabiliana katika robo fainali
Na MASHIRIKA BARCELONA, UHISPANIA OLE wao! Mmoja kati ya majabali wa soka duniani; Barcelona na Bayern Munich, hatashiriki nusu...
- by adminleo
- August 10th, 2020
DIMBA: Kinda Jesus hana kifani, aenda mbali
Na GEOFFREY ANENE Unapowahesabu makinda wanaotoa kila ishara ya siku moja hivi karibuni kuondokea kuwa majabali katika kandanda, basi...
- by adminleo
- August 10th, 2020
ODONGO: Magavana wasizuie wapinzani wao kuanzisha miradi
Na CECIL ODONGO IMEKUWA ni vuta nikuvute kati ya maafisa wa serikali wanaozindua miradi mbalimbali na baadhi ya magavana kuhusu siasa za...
- by adminleo
- August 10th, 2020
MATHEKA: Ukatili kuchelewesha malipo ya Kazi Mtaani
Na BENSON MATHEKA ALIPOZINDUA mpango wa kazi mitaani, Rais Uhuru Kenyatta alisema kwamba lengo lake lilikuwa ni kulinda maelfu ya vijana...