• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

Willian athibitisha kuagana rasmi na Chelsea

Na CHRIS ADUNGO KIUNGO mvamizi mzawa wa Brazil, Willian Borges da Silva, 32, amethibitisha kuondoka kambini mwa Chelsea baada ya...

KAMAU: Wakati umefika kwa asasi husika kudhibiti wanablogu

Na WANDERI KAMAU MOJA ya athari kuu za teknolojia mpya duniani ni kumwezesha kila mtu kutoa hisia zake kuhusu masuala mbalimbali...

Jinsi wakazi wa mtaa wa mabanda wa Bangladesh wanavyodumisha usafi kuzuia kuenea kwa Covid-19

Na WINNIE ATIENO MNAMO Machi, tangu kisa cha kwanza virusi vya corona kuripotiwa kaunti ya Mombasa, zaidi ya wakazi 20,000 kutoka mtaa...

Spika wa bunge la kaunti ya Nairobi Beatrice Elachi ajiuzulu

Na MARY WANGARI SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Beatrice Elachi amejiuzulu; akimuachia naibu wake John Kamangu majukumu hadi...

TAHARIRI: Busara iongoze leo mjadala wa seneti

Na MHARIRI SENETI leo Jumanne inatarajiwa kujaribu kwa mara nyingine kupata mwafaka kuhusu mfumo mpya utakaotumiwa kugawa fedha kwa...

Maandalizi ya kampeni za uchaguzi mkuu TZ yafana

Na MASHIRIKA DAR ES SALAAM, Tanzania VYAMA vya kisiasa Jumatatu vilizidisha maandalizi ya uchaguzi mkuu, huku siku rasmi ya kuanza...

Serikali Lebanon yajiuzulu kutokana na presha kutoka kwa waandamanaji

CHARLES WASONGA na MASHIRIKA BEIRUT, LEBANON SERIKALI ya Lebanon Jumatatu, Agosti 10, 2020, imejiuzulu kutokana na ongezeko la kero...

Korti yawaamuru maskwota kulipa bwanyenye Sh700,000

Na PHILIP MUYANGA MASKWOTA walioshtakiwa kwa kuvamia kipande cha ardhi cha ukubwa wa ekari 30 kilicho katika Kaunti ya Kilifi,...

MBWEMBWE: Oblak nyani nambari wani anayetamba pia kingwenje

Na CHRIS ADUNGO JAN Oblak, 27, ni kipa matata mzawa wa Slovenia ambaye kwa sasa anawadakika Atletico Madrid katika Ligi Kuu ya Uhispania...

Matumaini juu idadi ya wanaopona corona ikiongezeka

CHARLES WASONGA na SAMMY WAWERU KWA mara nyingine Kenya imeonekana kupiga hatua nzuri katika vita dhidi ya Covid-19 baada ya...

Benki ya Dunia yapiga jeki mpango wa Kazi Mtaani kwa Sh16.2 bilioni

Na BENSON MATHEKA BENKI ya Dunia imepiga jeki mpango wa Kazi Mtaani nchini Kenya kwa kupatia serikali mkopo wa Sh16.2 bilioni kuimarisha...

Raila azungumzia haja ya Katiba kufanyiwa marekebisho

Na SAMMY WAWERU KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amesema Katiba nzuri ni ile inayoweza kurekebishwa ili ikidhi mahitaji ya raia na wakazi wa...