• Nairobi
  • Last Updated May 21st, 2024 8:55 PM
Gavana ataka haki kwa mashindano ya utamaduni

Gavana ataka haki kwa mashindano ya utamaduni

Na KNA

GAVANA kwale, Bw Salim Mvurya, ametaka kamati itakayochagua kikundi cha kuwakilisha kaunti hiyo kwenye mashindano ya kitaifa ya utamaduni, ifanye uamuzi wa haki.

Alisema hiyo itawezesha Kwale kuwakilishwa na kikundi bora zaidi kitakacholeta ushindi.

Makala ya mwaka huu yatafanyika Mombasa. Mwaka 2019 Kwale iliibuka ya pili kitaifa.

Mwaka 2020 hayakuwepo sababu ya janga la corona.

You can share this post!

JUNGU KUU: ‘Siku ya Wajinga’ inavyoakisi taswira za...

Ukosefu wa sehemu maalum za kuuzia kuku wachosha...

T L