• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM
Mzungu atupwa jela miaka 81 kwa kuwadhulumu kingono wavulana wadogo

Mzungu atupwa jela miaka 81 kwa kuwadhulumu kingono wavulana wadogo

NA RICHARD MUNGUTI

RAIA wa Ujerumani Thomas Scheller amefungwa jela miaka 81 baada ya kupatikana na hatia ya kuwadhulumu kimapenzi wavulana wa umri mdogo.

Mfungwa huyu alikuwa ameingia nchini kama Mmishenari.

  • Tags

You can share this post!

Kocha wa Nakuru City Queens ajiuzulu

Koome adai Azimio ‘walinunua’ maiti za...

T L