• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 10:55 PM
Panzi wazua hofu wakiharibu mimea

Panzi wazua hofu wakiharibu mimea

NA OSCAR KAKAI

Panzi wamevamia Kaunti Ndogo ya Pokot ya Kati, Kaunti ya Pokot Magharibi kutokana na kiangazi ambacho kimesababisha wadudu hao kutaga mayai, kuzaa na kukua.

Panzi hao wamevamia mashamba katika eneo hilo kame na kuharibu mazao, nyasi na mimea na kutishia utoshelevu wa chakula katika eneo hilo.

Wadudu hao wamevamia maeneo ya wadi za Weiwei na Lomut katika eneobunge la Sigor na kuharibu mimea.

Wakazi wanaitaka serikali kukabili wadudu hao ambao wamekuwepo kwa wiki tatu sasa

 

  • Tags

You can share this post!

Maandamano: Maina Kairu, mwenyekiti wa Azimio Nakuru...

Bondia Wanyonyi adhihirisha Kenya imara kwa kumtandika...

T L