NA WINNIE ONYANDO
WIZARA ya Elimu itazindua tuzo kuwatambua walimu wanaotia bidii na kuhakikisha wanafunzi wanapata matokeo bora.
Afisa Mkuu Mtendaji wa TSC, Nancy Macharia, alisema kuwa Rais Uhuru Kenyatta amekubali pendekezo lao la kuwapa zawadi walimu wanaofanya bidii kupitia tuzo za Mwalimu Award.