• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 2:32 PM
TSC kuwatuza walimu wachapakazi

TSC kuwatuza walimu wachapakazi

NA WINNIE ONYANDO

WIZARA ya Elimu itazindua tuzo kuwatambua walimu wanaotia bidii na kuhakikisha wanafunzi wanapata matokeo bora.

Afisa Mkuu Mtendaji wa TSC, Nancy Macharia, alisema kuwa Rais Uhuru Kenyatta amekubali pendekezo lao la kuwapa zawadi walimu wanaofanya bidii kupitia tuzo za Mwalimu Award.

  • Tags

You can share this post!

Shule ya upili ya Shibanga yanasa jicho la Magoha

Mwanafunzi bora Pwani akamia uanafamasia

T L