Tag: ajali
- by adminleo
- April 7th, 2019
Waumini saba wafa katika ajali wakienda kulipa mahari Kitui
PIUS MAUNDU na GEORGE SAYAGIE WAUMINI saba wa kanisa moja jijini Nairobi waliokuwa wakienda kwa sherehe ya kulipa mahari, walikuwa...
- by adminleo
- April 7th, 2019
Ajifungia ndani ya gari akiogopa kipigo kwa kuzua ajali akiwa mlevi
NA RICHARD MAOSI DEREVA wa gari la kibinafsi alikatalia ndani ya gari akihofia kucharazwa na wapita njia kwa kuendesha gari kiholela...
- by adminleo
- March 30th, 2019
Wamiliki wa magari wahimizwa kuweka vidhibiti kasi
Na LAWRENCE ONGARO WAMILIKI wa magari ya uchukuzi wa umma wameshauriwa kukagua magari kabla ya kuruhusu yasafirishe...
- by adminleo
- March 18th, 2019
MKASA WA ETHIOPIA: Dhiki ya kuzika mchanga
NA MASHIRIKA SHIRIKA la ndege la Ethiopia limewapatia jamaa wa familia za watu 157 waliokufa kwenye ajali wiki iliyopita, mifuko yenye...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Ndege mbili aina ya Boeing 737 MAX 8 zapiga abautani angani
CHARLES WASONGA na MASHIRIKA NDEGE mbili aina ya Boeing 737 MAX 8 za Shirika la Ndege la Uturuki ambazo zilikuwa zikisafiri kuelekea...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Tuliiona ndege ikichomeka ikiwa angani – Mashahidi
VALENTINE OBARA Na MASHIRIKA UCHUNGUZI wa kujua chanzo cha ajali ya ndege iliyotokea Jumapili na kusababisha vifo vya watu 157, wakiwemo...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Mataifa 13 yasitisha safari za Boeing 737 MAX 8
Na VALENTINE OBARA MASHIRIKA ya ndege katika nchi mbalimbali, yamesitisha utumizi wa ndege aina ya Boeing 737 MAX 8, kufuatia ajali...
- by adminleo
- March 12th, 2019
“Nilikasirika sana nilipofungiwa nje ya ndege ya mauti Ethiopia’
Na LEONARD ONYANGO KUCHELEWA kwa dakika mbili pekee kulimfanya raia wa Ugiriki kunusurika kifo katika ajali ya ndege iliyosababisha vifo...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Majonzi, vilio baada ya ajali ya ndege Ethiopia
Na WAANDISHI WETU MAJONZI yalitanda maeneo mbalimbali ya nchi, jamaa na marafiki wakiomboleza wapendwa wao waliofariki kwenye ajali ya...
- by adminleo
- March 11th, 2019
Dakika za mwisho kabla ya mkasa wa ndege ya Ethiopia
ALLAN OLINGO Na PETER MBURU KENYA inaomboleza vikubwa kufuatia ajali ya ndege iliyokuwa ikisafiri kutoka Ethiopia kuelekea Nairobi,...
- by adminleo
- March 11th, 2019
MKASA WA ETHIOPIA: Ruto, Mudavadi na Maraga watuma risala za rambirambi
Na PETER MBURU VIONGOZI mbalimbali Jumatatu waliendelea kutuma jumbe za rambirambi kwa familia za watu walioangamia katika mkasa wa...
- by adminleo
- March 11th, 2019
Abiria atolewa kwa ndege baada ya kuiombea ipate ajali
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMUME mmoja alitolewa kutoka ndege moja iliyokuwa ikisafiri kwenda Dubai, wakati alipoanza kufanya maombi na...