• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

AK kutumia mchujo wa kitaifa mnamo Julai ugani Kasarani kuteua kikosi cha Riadha za Kimataifa kwa Chipukizi wa U-20

Na CHRIS ADUNGO KENYA itatumia mchujo wa mbio za chipukizi wasiozidi umri wa miaka 20 mnamo Julai 2-3 ugani MISC Kasarani kuteua kikosi...

AK yatoa ratiba kali ya Mbio za Nyika kwa maafisa wa magereza na KDF

Na CHRIS ADUNGO KUKAMILIKA kwa awamu ya tatu ya msururu wa Mbio za Nyika za Shirikisho la Riadha la Kenya (AK) mnamo Januari 2 katika...

AK yatenga Sh500,000 kwa washindi wa mbio za Mountain Running Championships

Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Riadha la Kenya (AK) limetenga jumla ya Sh500,000 kwa minajili ya kuwatuza wanariadha watakaoshiriki mbio...

Mbio za AK kuandaliwa Naivasha

Na CHRIS ADUNGO MJI wa Naivasha utakuwa mwenyeji wa makala ya pili ya mbio za Shirikisho la Riadha la Kenya (AK) za Mountain Running...

Uteuzi wa kikosi cha riadha ya AK ni wikendi hii

Na CHRIS ADUNGO MWANARIADHA Leonard Bett anatarajiwa kuwa kivutio zaidi miongoni mwa mashabiki wakati Shirikisho la Riadha la Kenya (AK)...