Tag: baringo
- by T L
- March 8th, 2022
Ni KCPE kwa hofu vijiji vikichomwa kaunti ya Baringo
NA WANDISHI WETU WATAHINIWA katika baadhi ya shule Kaunti ya Baringo, Jumatatu walifanya mtihani wa Darasa la Nane (KCPE) kwa hofu...
Madiwani wataka kupewa bunduki ‘kupambana’ na polisi
Na FLORAH KOECH MADIWANI wa Kaunti ya Baringo wanataka serikali iwape walinzi au kuwapa idhini ya kumiliki bunduki kama njia ya...
Wakazi wahofia vita vya jamii za wafugaji
Na FLORAH KOECH WAKAZI katika maeneo yanayokabiliwa na visa vya wizi wa mifugo katika Kaunti ya Baringo wameelezea hofu kwamba hatua ya...
MCAs wakabiliana wakijadili mswada wa BBI
Na WAANDISHI WETU FUJO zilizuka Alhamisi kwenye Bunge la Kaunti ya Baringo, madiwani waliporushiana makonde kutokana na mzozo kuhusu...
- by adminleo
- August 14th, 2019
Wito afisi ya kijinsia ifufuliwe Baringo
NA GEOFFREY ONDIEKI Mwakilishi Mwanamke wa Kaunti ya Baringo Gladwell Cheruiyot ametoa wito kwa Inspekta mkuu wa polisi Hilary Mutyambai...
- by adminleo
- July 25th, 2019
‘Idadi ya samaki Ziwa Baringo imepungua kwa kiwango cha kutisha’
Na MAGDALENE WANJA ASILIMIA kubwa ya mito inayotiririka kwenye Ziwa Baringo tayari imeanza kukauka. Hii ni kutokana na kuchelewa kwa...
- by adminleo
- April 6th, 2019
Wachina watoa pombe kwa wenye njaa Baringo
Na FLORAH KOECH KIZAAZAA kilishuhudiwa katika kijiji kimoja kinachokumbwa na uhaba wa chakula katika eneo la Tiaty, Kaunti ya Baringo...
- by adminleo
- August 17th, 2018
Hitilafu za vifaa kwenye uchaguzi mdogo Baringo Kusini
Na PETER MBURU SHUGHULI za uchaguzi mdogo wa eneobunge la Baringo Kusini zilianza Ijumaa alfajiri, huku visa vya baadhi ya vifaa vya...
- by adminleo
- June 11th, 2018
Ghasia zatawala mchujo wa Jubilee Baringo
Na FLORAH KOECH GHASIA zilikumba mchujo wa chama cha Jubilee eneobunge la Baringo Kusini kabla ya aliyekuwa katibu wa tawi la Baringo wa...
- by adminleo
- June 5th, 2018
Mitihani ya mwigo yapigwa marufuku Baringo
Na Florah Koech SERIKALI imepiga marufuku mitihani ya pamoja ya majaribio almaarufu ‘Mock’ katika shule za upili za Kaunti ya...