Tag: Corona
- by adminleo
- May 9th, 2020
COVID-19: Kenya yathibitisha visa vipya 28 idadi jumla ikifika 649
Na SAMMY WAWERU KIPINDI cha saa 24 zilizopita Kenya imethibitisha visa 28 vya wagonjwa wa Covid-19 idadi jumla nchini ikifika watu 649...
- by adminleo
- May 5th, 2020
COVID-19: Serikali yadokeza huenda ikaweka masharti makali
SYLVANIA AMBANI na CHARLES WASONGA SERIKALI inatarajiwa kutangaza masharti mapya wakati wowote wiki hii, ya kudhibiti kuenea...
- by adminleo
- May 3rd, 2020
Jamii ya Wamakonde yalalama imetengwa katika ugavi wa chakula
Na MISHI GONGO JAMII ya Wamakonde wanaoishi eneo la Makongeni, Msambweni katika Kaunti ya Kwale, ina malalamiko kuhusu kutengwa katika...
- by adminleo
- May 2nd, 2020
Wafanyakazi wa mikahawa kupimwa corona kwa Sh2,000
Na CHARLES WASONGA WAMIKILI wa mikahawa na hoteli wamepata afueni kidogo baada ya Waziri wa Afya Mutahi Kagwe kutangaza kuwa watatozwa...
- by adminleo
- May 1st, 2020
Kampuni ya Capwell Thika yaweka mikakati ya kukabiliana na corona
Na LAWRENCE ONGARO KAMPUNI ya Capwell Ltd mjini Thika imetoa mchango wake ili kuungana na mashirika mengine kusaidia vita dhidi ya janga...
- by adminleo
- April 30th, 2020
Familia Limuru yabaguliwa ghafla kushukiwa corona
Na MARY WANGARI FAMILIA moja eneo la Limuru, Kaunti ya Kiambu sasa inataka serikali iwachukulie hatua walioeneza video na habari...
- by adminleo
- April 30th, 2020
RITTENBERRY: Kampuni za Afrika zionyeshe utu kwa wafanyakazi wakati huu wa corona
NA JORDAN RITTENBERRY HUKU Covid-19 ikienea barani Afrika, ustawi wa biashara na viwanda umeshuka mno, kutokana na sheria za serikali za...
- by adminleo
- April 28th, 2020
Corona yawaua Wakenya 18 ughaibuni
Na WANDERI KAMAU WAKENYA 18 ndio wamefariki ughaibuni kutokana na virusi vya corona, serikali imesema Jumanne. Katibu wa Wizara ya...
- by adminleo
- April 28th, 2020
Corona yaongeza upweke wa Ruto
Na WANDERI KAMAU MASHARTI makali yaliyotangazwa na Wizara ya Afya kudhibiti kuenea kwa virusi hatari vya corona yanaendelea kumzidishia...
- by adminleo
- April 28th, 2020
TAHARIRI: Tusilegeze kamba dhidi ya corona
Na MHARIRI HUKU Kenya ikionyesha dalili za kuanza kulegeza kanuni za kupambana na ueneaji virusi vya corona, inahitajika hamasisho...
- by adminleo
- April 27th, 2020
Uhalifu umepungua kwa asilimia 50 – Kibicho
Na WANDERI KAMAU VISA vya uhalifu nchini vimepungua kwa asilimia 50 tangu serikali kuanza kutekeleza kafyu Machi, amesema Katibu wa...
- by adminleo
- April 26th, 2020
Kenya kupoteza mabilioni kutoka kwa wanariadha kwa sababu ya corona
Na GEOFFREY ANENE WANARIADHA wa Kenya watapoteza zaidi ya Sh5 bilioni wanayopata mashindanoni kama tuzo za washindi, matangazo ya...