Tag: Corona
- by adminleo
- June 4th, 2020
Madereva wamekuwa kisiki katika vita dhidi ya Covid-19 – Kagwe
Na SAMMY WAWERU Ni vipi madereva wa malori ya masafa marefu wasio na cheti cha Covid-19 wanapita vizuizi vya maafisa wa polisi...
- by adminleo
- June 4th, 2020
Diwani na mgonjwa washangaza kutoroka matibabu
Na IAN BYRON DIWANI mmoja katika Kaunti ya Migori pamoja na mgonjwa wa Covid-19 wanasakwa baada ya kutoweka kwa kituo cha...
- by adminleo
- June 4th, 2020
Covid-19: Watu wengi zaidi wapona
Na CHARLES WASONGA KENYA Jumatano iliandikisha idadi kubwa zaidi ya watu 54 waliopona Covid-19 huku idadi ya watu walioambukizwa ikipanda...
- by adminleo
- June 2nd, 2020
Rais adokeza kuhusu shule na makanisa kufunguliwa
Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta ameagiza Wizara ya Elimu na ile ya Usalama wa Ndani kuharakisha mwongozo na mikakati ya kufungua...
- by adminleo
- June 1st, 2020
Zaidi ya Wakenya 2,000 sasa wanaugua Covid-19
Na CHARLES WASONGA IDADI ya watu walioambukizwa Covid-19 Jumatatu ilivuka watu wa 2,000 baada ya watu 59 wapya kuthibitishwa kuwa na...
- by adminleo
- May 26th, 2020
Watu 3,000 wajitokeza kupimwa Covid-19 Nairobi
NA COLLINS OMULO WATU 3,000 wamejitokeza kupimwa virusi vya corona jijini Nairobi Jumanne, katika zoezi linaloendeshwa na Idara ya...
- by adminleo
- May 26th, 2020
SHINA LA UHAI: Covid-19 tishio kwa sekta ya afya duniani
Na LEONARD ONYANGO JANE Atieno (si jina lake halisi) wiki iliyopita alizuru kituo kimoja cha afya katika Kaunti ya Homa Bay, baada ya...
- by adminleo
- May 25th, 2020
Covid-19: Visa vingine 72 vyaripotiwa
NA FAUSTINE NGILA Watu wengine 72 wamethibitishwa kuwa na virusi vya corona huku idadi kamili ikifika 1,286 Jumatatu. Waziri msaidizi...
- by adminleo
- May 25th, 2020
Covid-19: Visa vyafika 1214
NA BERNADINE MUTANU Kenya imerekodi visa vingine 22 vya watu walioambukizwa virusi vya corona huku idadi ya wanaougua ikifikia watu...
- by adminleo
- May 20th, 2020
Nairobi yaongoza maambukizi, Mombasa kwa vifo
Na JUMA NAMLOLA KAUNTI ya Nairobi inaongoza kwa idadi ya maambukizi ya virusi vya corona huku Mombasa ikiongoza kwa watu walioaga dunia...
- by adminleo
- May 10th, 2020
Atunga wimbo wa mahadhi ya Kihindi kuangazia corona
Na ABDULRAHMAN SHERIFF WENYE hamu ya nyimbo za mahadhi ya Kihindi wanaendelea kuusikiliza wimbo uliozinduliwa siku chache zilizopita na...
- by adminleo
- May 10th, 2020
‘Virusi vya corona vyapatikana katika manii’
CHARLES WASONGA na MASHIRIKA WATAFITI nchini China wamepata virusi vya corona ndani ya manii ya idadi fulani ya wanaume walioambukizwa...