• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 6:07 PM

Madereva wamekuwa kisiki katika vita dhidi ya Covid-19 – Kagwe

Na SAMMY WAWERU Ni vipi madereva wa malori ya masafa marefu wasio na cheti cha Covid-19 wanapita vizuizi vya maafisa wa polisi...

Diwani na mgonjwa washangaza kutoroka matibabu

Na IAN BYRON DIWANI mmoja katika Kaunti ya Migori pamoja na mgonjwa wa Covid-19 wanasakwa baada ya kutoweka kwa kituo cha...

Covid-19: Watu wengi zaidi wapona

Na CHARLES WASONGA KENYA Jumatano iliandikisha idadi kubwa zaidi ya watu 54 waliopona Covid-19 huku idadi ya watu walioambukizwa ikipanda...

Rais adokeza kuhusu shule na makanisa kufunguliwa

Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta ameagiza Wizara ya Elimu na ile ya Usalama wa Ndani kuharakisha mwongozo na mikakati ya kufungua...

Zaidi ya Wakenya 2,000 sasa wanaugua Covid-19

Na CHARLES WASONGA IDADI ya watu walioambukizwa Covid-19 Jumatatu ilivuka watu wa 2,000 baada ya watu 59 wapya kuthibitishwa kuwa na...

Watu 3,000 wajitokeza kupimwa Covid-19 Nairobi

NA COLLINS OMULO WATU 3,000 wamejitokeza kupimwa virusi vya corona jijini Nairobi Jumanne, katika zoezi linaloendeshwa na Idara ya...

SHINA LA UHAI: Covid-19 tishio kwa sekta ya afya duniani

Na LEONARD ONYANGO JANE Atieno (si jina lake halisi) wiki iliyopita alizuru kituo kimoja cha afya katika Kaunti ya Homa Bay, baada ya...

Covid-19: Visa vingine 72 vyaripotiwa

NA FAUSTINE NGILA Watu wengine 72 wamethibitishwa kuwa na virusi vya corona huku idadi kamili ikifika 1,286 Jumatatu. Waziri msaidizi...

Covid-19: Visa vyafika 1214

NA BERNADINE MUTANU Kenya imerekodi visa vingine 22 vya watu walioambukizwa virusi vya corona huku idadi ya wanaougua ikifikia watu...

Nairobi yaongoza maambukizi, Mombasa kwa vifo

Na JUMA NAMLOLA KAUNTI ya Nairobi inaongoza kwa idadi ya maambukizi ya virusi vya corona huku Mombasa ikiongoza kwa watu walioaga dunia...

Atunga wimbo wa mahadhi ya Kihindi kuangazia corona

Na ABDULRAHMAN SHERIFF WENYE hamu ya nyimbo za mahadhi ya Kihindi wanaendelea kuusikiliza wimbo uliozinduliwa siku chache zilizopita na...

‘Virusi vya corona vyapatikana katika manii’

CHARLES WASONGA na MASHIRIKA WATAFITI nchini China wamepata virusi vya corona ndani ya manii ya idadi fulani ya wanaume walioambukizwa...