Tag: dhahabu
- by adminleo
- May 22nd, 2019
Matapeli wa dhahabu feki washtakiwe Uarabuni – Gavana Mutua
PIUS MAUNDU na RUTH MBULA GAVANA wa Machakos Dkt Alfred Mutua Jumatano alipendekeza kwamba washukiwa kwenye sakata ya dhahabu bandia...
- by adminleo
- May 22nd, 2019
Balozi asema UAE kamwe haihusiki na sakata ya dhahabu
Na PETER MBURU TAIFA la Milki za Uarabuni (UAE) limejitenga na sakata ambapo mtu wa familia ya mfalme wa taifa hilo anaripotiwa...
- by adminleo
- May 21st, 2019
DHAHABU FEKI: Washukiwa ndani hadi Juni 27
Na Richard Munguti WASHUKIWA 16 wa kashfa ya dhahabu feki Jumanne walisukumwa gerezani hadi Juni 27 mahakama itakapoamua hatima yao ya...
- by adminleo
- May 20th, 2019
Dhahabu bandia yamfaa Ruto
PETER MBURU na ZACHEUS MWASAME SAKATA ya dhahabu bandia imeanza kumfaa kisiasa Naibu wa Rais William Ruto, ambaye sasa anawakashifu...
- by adminleo
- May 19th, 2019
SAKATA YA DHAHABU: Haji aonya wanaosambaza rekodi ya sauti mitandaoni
Na CHARLES WASONGA MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji ameamuru Inspekta Jenerali wa Polisi Hilary Mutyambai kuhakikisha...
- by adminleo
- May 15th, 2019
Wakenya wagonga ufalme wa Dubai
Na BENSON MATHEKA MWANAMFALME wa Milki ya Kiarabu (UAE), Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, alitapeliwa Sh400 milioni na walaghai...
- by adminleo
- May 14th, 2019
DHAHABU: Mshukiwa mkuu hutangamana na wanasiasa vigogo
Na VINCENT ACHUKA MSHUKIWA mkuu wa sakata ya dhahabu feki ambapo mwanamfalme wa Milki ya Kiarabu (UAE) alitapeliwa zaidi ya Sh400...
- by adminleo
- April 16th, 2019
Ndani kwa mashtaka ya kubambwa wakiwa na ‘dhahabu’
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wanne wa Rwanda na Wakenya wawili walikifishwa kortini Jumanne kwa tuhuma walipatikana na dhahabu...
- by adminleo
- April 1st, 2019
Mamilionea wang’ang’ania dhahabu ya jangwani
NA MWANDISHI WETU MATAJIRI kutoka Nairobi wamefurika katika Jangwa la Chalbi, karibu na Ziwa Turkana kununua ardhi, baada ya kugunduliwa...
- by adminleo
- March 19th, 2019
Walionaswa na kilo 4.6 za dhahabu watupwa rumande siku 10
Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA wawili ambao uraia wao haujajulikana waliokamatwa katika kizuizi cha barabara ya Isiolo-Moyale wakiwa na...
- by adminleo
- December 10th, 2018
SIAYA: Matumaini tele kwa wakazi baada ya dhahabu kupatikana kijijini
Na VALENTINE OBARA KWA miongo mingi, wakazi katika kijiji cha Onyata kilicho eneobunge la Rarieda katika Kaunti ya Siaya, wamekuwa...
- by adminleo
- August 13th, 2018
Raia wa Uganda na DRC wasakwa kwa ulaghai wa dhahabu
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wawili wa kigeni wameamriwa watiwe nguvuni kwa kuwalaghai wafanyabiashara wa kimataifa zaidi ya Sh85 milioni...