• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 12:38 PM

DOMO: Ni kweli hana haya

NA MWANAMIPASHO KASEMA mwenyewe, "nina kila kitu, nisicho nacho ni haya tu." Ni maneno yake Seneta Maalum Karen Nyamu. Sikatai....

DOMO: Aisee ukiwa mzembe, nyeti ndio zitaumia!

NA MWANAMIPASHO NDUGU zanguni leo nilikuwa niendelee na tulikoachia wiki iliyopita, ila bwana kuna haya mapya. Hivi mnazo hizo habari...

DOMO: Huku kuanika tumbo kwasinya

NA MWANAMIPASHO KUNA wimbo wa zilizopendwa niliosikiliza juzi, ukanikuna akili. Sijui jina la wimbo ila najua wasanii walotunga...

DOMO: Hilo zigo lina nini jamani?

NA MWANAMIPASHO HIVI lile zigo la Amber Ray lina nini haswa? Nipo hapa kijiweni napitia picha za sista Insta nikiwaza. Kwenye...

DOMO: Malipo hapa hapa duniani!

NA MWANAMIPASHO KAMA kuna demu aliyeniacha hoi siku za hivi karibuni ni huyu Miss Mandi. Alitrendi kwa siku tatu mfululizo baada ya...

DOMO: Ni kama ndrama, ni kama vindeo!

Na MWANAMIPASHO KENYA ni nchi speshio. Wakati mwingine huwa nakaa nakuwaza kama mataifa mengine hushuhudia drama ambazo sisi Wakenya...

Uhuru awazomea wanasiasa ‘wapiga domo’

Na MARY WANGARI MWANASIASA mkongwe Chares Rubia alizikwa Jumatatu nyumbani kwake Kandara, Kaunti ya Murang’a, katika hafla...