Tag: FASIHI
- by adminleo
- April 11th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Lugha kama kitambulisho cha makundi ya wanajamii
Na CHRIS ADUNGO LUGHA inazidi kutegemewa pakubwa katika jitihada za kuleta mabadiliko na maendeleo kwa wanajamii na huwa na athari chanya...
- by adminleo
- April 9th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Ukuaji wa Konsonanti na Irabu za Kiswahili
Na WANDERI KAMAU KATIKA utangulizi wa kitabu 'A Handbook of the Swahili Language', Askofu Adam Steere alijadili suala la tahajia au hati...
- by adminleo
- April 5th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Nadharia ya Uzamaji katika kutatua changamoto za kutumia lugha ya kigeni kufundishia shuleni
Na MARY WANGARI WATAALAMU Skutnabb-Kangas na McCarty (2008) wanaeleza uzamaji kama utaratibu wa kurekebisha kasoro za watoto wanaopelekwa...
- by adminleo
- April 5th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Matatizo yanayowakumba walimu kutokana na matumizi ya lugha ya kigeni katika kufundishia shuleni
Na MARY WANGARI TUNAANGAZIA changamoto zinazowakabili walimu kutokana na hali ya kukosa kutumia Kiswahili katika ufundishaji wa elimu ya...
- by adminleo
- April 5th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Utahini wa Karatasi ya Kwanza (KCSE); Insha
Na ALEX NGURE LIFUATALO ni wasilisho la mwalimu Simon Ngige, mwandishi wa Upeo wa Insha, Kiswahili A+ na Kiswahili Encylopaedia, kwenye...
- by adminleo
- March 23rd, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Nafasi ya sera katika upangaji lugha katika mataifa mbalimbali
Na MARY WANGARI KWA mujibu wa Macdonald (1990) nchini Botswana walimu walikuwa na changamoto ya kimawasilino kwa kuwa na ujuzi mdogo wa...
- by adminleo
- March 23rd, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Athari za lugha ya kigeni kwa walimu, wanafunzi katika kuendeleza elimu
Na MARY WANGARI KWA mujibu wa watafiti kama vile Senkoro, uwezo wa kung’amua na kueleza mtazamo na hisia za ndani kuhusu maarifa ndiyo...
- by adminleo
- March 23rd, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Manufaa ya kutumia Kiswahili kama lugha ya kufundishia
Na MARY WANGARI HEUGH na wenzake (2007) walibaini kwamba mafanikio yaliyoafikiwa ya wanafunzi kufaulu sana katika masomo ya sayansi na...
- by adminleo
- March 21st, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Vizingiti vinavyowakabili wanafunzi katika kupata maarifa ya elimu shuleni
Na MARY WANGARI MWANAISIMU Mekacha (2000), anatoa hoja kwamba lugha ya kufundishia inapokuwa haieleweki vizuri kwa walimu na wanafunzi,...
- by adminleo
- March 21st, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Changamoto za kutumia lugha ya kigeni katika kuwafundishia wanafunzi shuleni
Na MARY WANGARI WANAFUNZI na wafuatiliaji wengine, jinsi tulivyojifunza kipindi cha wiki jana ni kwamba kuna uhusiano mkubwa baina ya...
- by adminleo
- March 19th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Tathmini ya kina kuhusu Isimu ya Lugha ya Kiswahili
Na MARY WANGARI DHANA ya isimu inaweza kufafanuliwa kama taaluma ya sayansi inayojishughulisha na masuala ya lugha. Tunaposema kwamba...
- by adminleo
- March 13th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Nafasi ya Kiswahili kama lugha ya kufundishia Afrika Mashariki
Na MARY WANGARI KULINGANA na mjadala wetu wa awali, ni bayana kwamba ili mwanafunzi apate maarifa na uwezo wa kujitambua na kung’amua...