Tag: filamu
- by adminleo
- September 2nd, 2019
‘Ndoto yangu ni kutwaa tuzo za kimataifa katika uigizaji’
Na JOHN KIMWERE ANASEMA ametunukiwa kipaji tosha kufanya vizuri katika tasnia ya uigizaji na kutwaa tuzo za kimataifa kama Oscars, Emmys...
- by adminleo
- August 12th, 2019
EMILY ACHIENG’: Nilitaka kuwa mtawa lakini nikatumbukia kwa mawimbi ya uigizaji
Na JOHN KIMWERE SURA na jina lake siyo geni kwa wapenzi wa tasnia ya uigizaji hapa nchini. Anaodhoroshwa kati ya wasanii wa kike...
- by adminleo
- July 21st, 2019
MARY MONI: Wakati mwingine sisi waigizaji hatulipwi
Na JOHN KIMWERE NI kati ya wasanii wengi wa kike ambao wamejifunga nira kuvumisha tasnia ya maigizo hapa nchini. Anaamini anaendelea...
- by adminleo
- July 17th, 2019
ANN MWAI: Tajriba ya miaka 14 katika uigizaji
Na JOHN KIMWERE ANAAMINI ametunukiwa kipaji atakachotumia kufukuzia kutinga viwango vya kimataifa katika uigizaji. Ni takribani miaka 14...
- by adminleo
- June 9th, 2019
VALARY AKINYI: Kipaji chake kimevutia NTV na KTN
Na JOHN KIMWERE 'MTAKA cha mvunguni sharti ainame.' Ndivyo wahenga walivyolonga na tangia zama zile ndivyo hali ilivyo hadi sasa. Ni...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
QUEEN NKIROTE: Sanaa iendelee kuvumishwa shuleni
Na JOHN KIMWERE NI ndoto ya kila msanii kuona anaimarika kisanaa na kazi zake kutambulika kote duniani. Queen Nkirote Imanyara aachwi...
- by adminleo
- May 26th, 2019
Vannesa mwigizaji wa Tahidi High alenga kumfikia Maisie Williams
Na JOHN KIMWERE SURA na jina lake siyo geni kwa wapenzi wa tasnia ya filamu hapa nchini. Ni miongoni mwa wasanii wengi wa kike...
- by adminleo
- May 21st, 2019
Agnettah Zaddock: Anawezaje kuwa mwigizaji hodari na pia mfugaji kuku?
Na JOHN KIMWERE AKIWA mdogo alitamani sana kuhitimu kuwa mwanasheria tajika humu nchini. Hata hivyo akiwa sekondari alivutiwa zaidi na...
- by adminleo
- May 21st, 2019
JANE NYAMBURA: Mhariri mahiri wa filamu
Na JOHN KIMWERE KILA Mja hujipa matumaini mema kwa anachofanya ambapo huwa ni hali ya kutarajia. Ni katika kutumainia na kuvumilia...
- by adminleo
- May 7th, 2019
FLORENCE NYAWIRA: Wema Sepetu wa Kenya
NA JOHN KIMWERE Florence Nyawira Mutahi ni miongoni mwa wasanii wanaotarajia kujituma kisabuni ili miaka ijayo kuhakikisha wameibuka...
- by adminleo
- April 29th, 2019
MAKOVO MBATHA: Wengi hawakutarajia ningefika hapa
Na JOHN KIMWERE AKIWA mdogo alitamani kuwa polisi, padri ama mwanajeshi kama ilivyo kwa wengi wao miongoni mwa jamii yao katika Kaunti...
- by adminleo
- April 21st, 2019
LEILA WANGARI: Niko tayari kukosolewa na manguli wa uigizaji
Na JOHN MIMWERE AMEBISHA! Ameanza kupiga ngoma huku akilenga kukwea milima na mabonde ili kufikia levo ya kimataifa katika tasnia ya...