• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 7:50 AM

‘Ndoto yangu ni kutwaa tuzo za kimataifa katika uigizaji’

Na JOHN KIMWERE ANASEMA ametunukiwa kipaji tosha kufanya vizuri katika tasnia ya uigizaji na kutwaa tuzo za kimataifa kama Oscars, Emmys...

EMILY ACHIENG’: Nilitaka kuwa mtawa lakini nikatumbukia kwa mawimbi ya uigizaji

Na JOHN KIMWERE SURA na jina lake siyo geni kwa wapenzi wa tasnia ya uigizaji hapa nchini. Anaodhoroshwa kati ya wasanii wa kike...

MARY MONI: Wakati mwingine sisi waigizaji hatulipwi

Na JOHN KIMWERE NI kati ya wasanii wengi wa kike ambao wamejifunga nira kuvumisha tasnia ya maigizo hapa nchini. Anaamini anaendelea...

ANN MWAI: Tajriba ya miaka 14 katika uigizaji

Na JOHN KIMWERE ANAAMINI ametunukiwa kipaji atakachotumia kufukuzia kutinga viwango vya kimataifa katika uigizaji. Ni takribani miaka 14...

VALARY AKINYI: Kipaji chake kimevutia NTV na KTN

Na JOHN KIMWERE 'MTAKA cha mvunguni sharti ainame.' Ndivyo wahenga walivyolonga na tangia zama zile ndivyo hali ilivyo hadi sasa. Ni...

QUEEN NKIROTE: Sanaa iendelee kuvumishwa shuleni

Na JOHN KIMWERE NI ndoto ya kila msanii kuona anaimarika kisanaa na kazi zake kutambulika kote duniani. Queen Nkirote Imanyara aachwi...

Vannesa mwigizaji wa Tahidi High alenga kumfikia Maisie Williams

Na JOHN KIMWERE SURA na jina lake siyo geni kwa wapenzi wa tasnia ya filamu hapa nchini. Ni miongoni mwa wasanii wengi wa kike...

Agnettah Zaddock: Anawezaje kuwa mwigizaji hodari na pia mfugaji kuku?

Na JOHN KIMWERE AKIWA mdogo alitamani sana kuhitimu kuwa mwanasheria tajika humu nchini. Hata hivyo akiwa sekondari alivutiwa zaidi na...

JANE NYAMBURA: Mhariri mahiri wa filamu

Na JOHN KIMWERE KILA Mja hujipa matumaini mema kwa anachofanya ambapo huwa ni hali ya kutarajia. Ni katika kutumainia na kuvumilia...

FLORENCE NYAWIRA: Wema Sepetu wa Kenya

NA JOHN KIMWERE Florence Nyawira Mutahi ni miongoni mwa wasanii wanaotarajia kujituma kisabuni ili miaka ijayo kuhakikisha wameibuka...

MAKOVO MBATHA: Wengi hawakutarajia ningefika hapa

Na JOHN KIMWERE AKIWA mdogo alitamani kuwa polisi, padri ama mwanajeshi kama ilivyo kwa wengi wao miongoni mwa jamii yao katika Kaunti...

LEILA WANGARI: Niko tayari kukosolewa na manguli wa uigizaji

Na JOHN MIMWERE AMEBISHA! Ameanza kupiga ngoma huku akilenga kukwea milima na mabonde ili kufikia levo ya kimataifa katika tasnia ya...