• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 6:50 AM

JAMVI: Miungano ya kisiasa inayobuniwa nchini ni ya kufaidi wanasiasa tu!

Na CHARLES WASONGA HUKU vigogo wa kisiasa nchini wakiwa mbioni kubuni miungano ya kisiasa kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao, kuna hisia...

JAMVI: Mkanganyiko mkuu unaogubika siasa za urithi Pwani

Na MOHAMED AHMED KWA muda sasa magavana watatu kutoka Pwani akiwemo wa Mombasa Hassan Joho, Salim Mvurya wa Kwale na mwenzao wa Kilifi...

JAMVI: Magavana ‘wanaofunga kazi’ wang’ang’aniwa na Uhuru na Ruto, kulikoni?

Na LEONARD ONYANGO RAIS Uhuru Kenyatta na Naibu wa Rais William Ruto sasa wanang’ang’ania uungwaji mkono wa magavana watakaostaafu...

JAMVI: Njama ya Raila kubomoa One Kenya Alliance

Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha ODM, Raila Odinga, ameanza mikakati ya kuwapiga vita vya kisiasa vinara wenza katika National...

JAMVI: Kilio IEBC ikiendelea na chaguzi ndogo bila ya kampeni

Na MWANGI MUIRURI KANUNI zilizopitishwa hivi majuzi na serikali kuzuia ueneaji wa virusi vya corona, zimeanza kutoa taswira ya jinsi...

JAMVI: Kukwama kwa refarenda Juni kutakavyomjenga Ruto

Na BENSON MATHEKA IWAPO kura ya maamuzi kupitia Mpango wa Maridhiano (BBI) haitafanyika jinsi ilivyopangwa, Naibu Rais William Ruto...

JAMVI: Ni mwanzo mpya katika dunia ya Suluhu, Biden

Na WANDERI KAMAU DUNIA inapitia mapambazuko mapya kisiasa katika ngazi ya kimataifa, kufuatia mageuzi makubwa ya kisera ambayo...

JAMVI: Kizungumkuti cha kuteua ‘Rais’ One Kenya Alliance

Na CHARLES WASONGA MUUNGANO wa One Kenya Alliance (OKA) unakabiliwa na changamoto kubwa ya kuteua mgombeaji wake wa urais huku...

JAMVI: Hivi anavyokuja Obado, ndiye kizibo cha Raila Nyanza?

Na LEONARD ONYANGO HATUA ya Gavana wa Migori Okoth Obado kumshambulia kinara wa ODM Raila Odinga imezua hisia tofauti miongoni mwa...

JAMVI: ODM inacheza tu abrakadabra za danganyatoto, ukweli wajulikana

Na CHARLES WASONGA SASA imedhihirika wazi kwamba kiongozi wa ODM Raila Odinga amejipata katika njiapanda kuhusu iwapo awanie urais 2022...

One Kenya Alliance ina mchongoma wa kupanda kisiasa

Na WANDERI KAMAU WAANDANI wa Rais Uhuru Kenyatta wanakabiliwa na kibarua kigumu kuujenga muungano wa One Kenya Alliance, kwa kuvuruga...

JAMVI: Viunzi tele katika jitihada za Ruto kuvumisha UDA

Na CHARLES WASONGA VUTA nikuvute miongoni mwa wabunge wanaoegemea chama cha United Democratic Alliance (UDA), kinachohusishwa na Naibu...