Tag: kafyu
- by adminleo
- May 15th, 2020
Mwanamume azuiliwa kujeruhi polisi kwa jiwe wakati wa kafyu
Na JOSEPH NDUNDA MWANAMUME anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Makongeni, Nairobi kwa kumgonga afisa wa polisi kwa jiwe na kumjeruhi...
- by adminleo
- May 10th, 2020
Polisi kizimbani kwa madai ya kuua mtu wakati wa kafyu
Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa Polisi alishtakiwa kwa mauaji ya mkazi wa mtaa wa Mathare, Kaunti ya Nairobi wakati wa kushika doria za...
- by adminleo
- April 30th, 2020
Wabunge wataka amri ya kafyu isiwaguse
Na CHARLES WASONGA WABUNGE sasa wanataka wajumuishwe kwenye orodha ya wafanyakazi wa kutoa hudumu muhimu, wakilalama kuwa polisi...
- by adminleo
- April 20th, 2020
Serikali yakataa kulegeza kanuni za kafyu mwezi wa Ramadhan
Na IBRAHIM ORUKO SERIKALI imekataa ombi la viongozi wa Waislamu la kutaka Wizara ya Afya ilegeze sheria za kafyu mwezi mtukufu wa...
- by adminleo
- April 18th, 2020
Polisi wazidi kukaidi amri za kafyu
Na BENSON MATHEKA MAAFISA wa polisi wanaonyesha mfano mbaya kwa kuwa mstari wa mbele kukaidi kanuni zilizowekwa na Wizara ya Afya kuzuia...
- by adminleo
- April 17th, 2020
Wanaosumbua polisi wakati wa kafyu waonywa
Na SAMMY WAWERU Rais Uhuru Kenyatta ametoa onyo kwa watu wanaohitilafiana na maafisa wa polisi katika jitihada zao kutekeleza kafyu. Rais...
- by adminleo
- April 15th, 2020
KAFYU: Dereva aua polisi akihepa kunaswa na polisi mwingine
Na John Njoroge AFISA wa polisi alifariki Jumapili jioni akiwa kazini baada ya kugongwa na gari dogo lililokuwa likiendeshwa kwa kasi...
- by adminleo
- April 8th, 2020
KAFYU: Familia zadai haki baada ya kujeruhiwa na polisi
NA KALUME KAZUNGU FAMILIA mbili, Kaunti ya Lamu zinadai haki kutendeka kwa watu wao waliopigwa na kuacha na majeraha mabaya na polisi...
- by adminleo
- April 8th, 2020
KAFYU: Polisi na majambazi sasa wazidisha uhalifu
Na WAANDISHI WETU VISA vya ukiukaji wa amri ya kutotoka nje usiku na uhalifu vimeendelea kushuhudiwa maeneo tofauti nchini huku maafisa...
- by adminleo
- April 6th, 2020
“Nimezoea maisha ya kafyu, biashara si mbaya vile’
Na GEOFFREY ANENE KAFYU inayolenga kuzuia uenezaji wa virusi vya corona imeathiri vibaya sekta nyingi za maisha kote duniani. Huku...
- by adminleo
- April 4th, 2020
Seneta aunga mkono wito Wakenya wafungiwe nyumbani
BENSON AMADALA na VITALIS KIMUTAIĀ SENETA wa Kakamega, Cleophas Malala, ameunga mkono kauli ya Chama cha Walimu Nchini (KNUT) kwamba,...
- by adminleo
- April 2nd, 2020
Uhalifu waongezeka wakati wa kafyu
Na ONYANGO K'ONYANGO VISA vya uhalifu vinazidi kuongezeka kwenye kaunti zinazopatikana Kaskazini mwa Bonde la Ufa hasa usiku wakati wa...