Tag: kalonzo
- by adminleo
- November 4th, 2019
Kalonzo azidi kutengwa na viongozi Ukambani
NA CECIL ODONGO MASAIBU ya Kinara wa Chama cha Wiper Kalonzo Musyoka kutengwa na viongozi katika ngome yake ya Ukambani yalizidi...
- by adminleo
- September 1st, 2019
JAMVI: Ni kushuka mchongoma kwa Kalonzo kuingia Ikuluu 2022 bila Raila
Na BENSON MATHEKA Kauli ya kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka kwamba hatahitaji kuungwa mkono na kinara wa ODM, Raila Odinga,...
- by adminleo
- August 25th, 2019
Simhitaji Raila 2022 – Kalonzo
Na CAROLYNE AGOSA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka, amesema hahitaji usaidizi wa kinara wa ODM, Raila Odinga, ili kushinda kiti cha...
- by adminleo
- July 23rd, 2019
MUTUA: Kalonzo atumie tajriba kuwapatanisha Riek Machar na Salva Kiir
Na DOUGLAS MUTUA MMOJA wa watu mashuhuri waliofanikisha kupatikana kwa uhuru wa Sudan Kusini kutoka Sudan ni aliyekuwa makamu wa rais wa...
- by adminleo
- July 10th, 2019
Wiper kutangaza mwenyekiti mpya mwishoni mwa Julai
Na CECIL ODONGO CHAMA cha Wiper kimetangaza kwamba kitatangaza mwenyekiti mpya mwishoni mwa mwezi huu wa Julai kurithi nafasi hiyo...
- by adminleo
- June 16th, 2019
Kalonzo ataka wanaobwagwa kwa urais wapewe ubunge
Na PIUS MAUNDU KIONGOZI wa Chama cha Wiper, Bw Kalonzo Musyoka anataka katiba irekebishwe ili kuwawezesha wagombeaji urais wanaoshindwa...
- by adminleo
- June 16th, 2019
Tunatambua Kalonzo pekee, Kibwana aambiwa
BENSON MATHEKA na CHARLES WASONGA VIONGOZI wa Ukambani wamemshambulia Gavana wa Makueni Kivutha Kibwana na kukariri kuwa kiongozi wa...
- by adminleo
- June 10th, 2019
2022: Masaibu ya Ruto yaongezeka Kalonzo akiungana na Moi
KITAVI MUTUA na CECIL ODONGO KIONGOZI wa chama cha Wiper Jumapili alitangaza kushirikiana kisiasa na kinara wa KANU Gideon Moi, hatua...
- by adminleo
- June 9th, 2019
JAMVI: Musyoka aendelea kupata upinzani ngomeni, lakini adai yuko ngangari
Na BENSON MATHEKA Kiongozi wa chama cha Wiper Stephen Kalonzo Musyoka anaendelea kutengwa kisiasa katika ngome yake huku waliokuwa...
- by adminleo
- June 6th, 2019
Kalonzo hafai urais 2022, Musila ashikilia
Na PIUS MAUNDU ALIYEKUWA Seneta wa Kitui David Musila ameirai jamii ya Akamba kutomuunga mkono kiongozi wa Wiper, Kalonzo Musyoka,...
- by adminleo
- May 26th, 2019
Kibwana, Mutua na Ngilu watisha kumkata miguu Kalonzo
Na BENSON MATHEKA UMOJA wa magavana wa kaunti tatu za Ukambani ambao unaonekana kupata nguvu kila siku, unaweza kuwa pigo kwa maisha ya...
- by adminleo
- May 25th, 2019
Zogo la Kibwana, Muthama kuhusu Kalonzo lafufuka
Na PIUS MAUNDU na GASTONE VALUSI MZOZO kati ya Gavana wa Makueni, Kivutha Kibwana na kiongozi wa Wiper, Kalonzo Musyoka umechipuka tena...