Tag: kenya power
- by adminleo
- April 30th, 2018
Wakenya wengi walalamikia huduma mbovu na bei ghali ya Kenya Power
Na BARNABAS BII KAMPUNI ya usambazaji umeme ya Kenya Power ina idadi kubwa zaidi ya malalamishi yanayowasilishwa kwa idara ya serikali...
- by adminleo
- April 25th, 2018
Kenya Power ichunguzwe kwa kuwapunja Wakenya – Wabunge
Na CHARLES WASONGA MHASIBU Mkuu wa serikali Edward Ouko ametakiwa kuufanyia ukaguzi mfumo ambao hutumiwa na kampuni ya kusambaza umeme...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Mvua inayonyesha kuchangia kushuka kwa ada ya umeme
Na BERNARDINE MUTANU Gharama ya umeme inatarajiwa kushuka kwa kiasi kikubwa kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Agizo picha za walaghai wa umeme zisichapishwe
Na BENSON MATHEKA POLISI wameagizwa kutochapisha au kusambaza picha za washukiwa wanaodaiwa kujifanya wafanyakazi wa kampuni ya Kenya...
- by adminleo
- April 14th, 2018
Huenda bei ya bidhaa ikashuka baada ya hatua hii
Na BERNARDINE MUTANU Shirika la Umeme nchini, Kenya Power, limeingia katika mkataba na Chama cha Watengenezaji wa Bidhaa (KAM)...
- by adminleo
- April 5th, 2018
Mamia ya wakazi waachwa gizani na Kenya Power msakoni Tassia
Na BERNARDINE MUTANU Kampuni ya Kenya Power imewaacha bila stima wakazi wa orofa 20 katika mtaa wa Tassia, Nairobi wakati wa operesheni...
- by adminleo
- March 20th, 2018
Gharama ya umeme kupanda mwishoni mwa Machi
Na BERNARDINE MUTANU GHARAMA ya matumizi ya umeme inatarajiwa kupanda juu zaidi mwezi huu. Hii ni baada ya Tume ya Kudhibiti Kawi (ERC)...
- by adminleo
- March 2nd, 2018
Faida ya Kenya Power yashuka
Na BERNARDINE MUTANU FAIDA ya kampuni ya Umeme nchini (Kenya Power) imeshuka kwa asilimia 30.3. Hii ni baada ya kupata mapato baada ya...