Tag: kifo
- by adminleo
- October 8th, 2019
Msomi mashuhuri Mkenya afariki
Na KITAVI MUTUA ULIMWENGU Jumatatu uliomboleza kifo cha profesa wa masuala ya kidini, John Samuel Mbiti ambaye alikuwa maarufu...
- by adminleo
- October 5th, 2019
TANZIA: Viongozi wamtumia Khalwale salamu za pole kwa kumpoteza mke
NA MARY WANGARI WANASIASA mbalimbali wakiongozwa na Naibu Rais Dkt William Ruto, wameungana Jumamosi kumfariji aliyekuwa Seneta wa...
- by adminleo
- October 4th, 2019
Polisi wachunguza kifo tata cha dadake mbunge wa Githunguri
Na CHARLES WASONGA DADAKE Mbunge wa Githunguri Gabriel Kago, Jane Murugi, alipatikana Ijumaa akiwa amefariki nyumbani kwake katika hali ya...
- by adminleo
- August 17th, 2019
DINI: Utakifanyaje kifo chako kuwa zawadi kwa wengi ili uombolezwe kwa heshima?
Na FAUSTIN KAMUGISHA KIFO ni mtihani. Kuna aliyesema dunia ni mahali pa hatari sana, hutoki ukiwa hai. Hadithi inapokuwa nzuri...
- by adminleo
- August 10th, 2019
Maiti ya mwanamume yapatikana katika choo cha kanisa Kakamega
Na SHABAN MAKOKHA [email protected] MAAFISA wa polisi Kakamega wanachunguza kisa ambapo mwili wa mwanamume umepatikana...
- by adminleo
- July 26th, 2019
Mbunge Ken Okoth wa Kibra afariki
Na MWANDISHI WETU MBUNGE wa Kibra, Ken Okoth amefariki katika Nairobi Hospital ambako alikuwa amepelekwa kupokea matibabu akiwa katika...
- by adminleo
- May 27th, 2019
Matineja ndani miaka 30 kwa kuteka mtoto nyara na kumuua
MASHIRIKA Na PETER MBURU MAHAKAMA moja ya Afghan Stan Jumapili iliwafunga matineja wawili miaka 30 gerezaji, baada ya kuwapata na hatia...
- by adminleo
- May 14th, 2019
Aliyekuwa Mkuu wa Utumishi wa Umma aaga dunia
Na CHARLES WASONGA ALIYEKUWA Mkuu wa Utumishi wa Umma Jeremiah Kiereini amefariki Jumanne asubuhi jijini Nairobi akiwa na umri wa miaka...
- by adminleo
- April 22nd, 2019
KOIGARO FALLS: Eneo wazee wa Kalenjin walikuwa wanajirusha kwa kuamini ‘kifo kimewasahau’
NA RICHARD MAOSI MLIMA wa Koigaro Falls katika eneo la Biribiriet, Kaunti ya Nandi, unasifika kutokana na historia yake ndefu, ya...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Aliyedai Uhuru atafariki Machi 20 aagizwa kupimwa akili
Na MAUREEN KAKAH MWANAUME aliyedai kuonyeshwa ndotoni na Roho Mtakatifu kuwa Rais Uhuru Kenyatta, apaswa kumuona kabla ya Jumamosi ili...
- by adminleo
- January 29th, 2019
Mwigizaji asimulia jinsi amekuwa akikwepa kifo
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWIGIZAJI mmoja kutoka Marekani ambaye ana miaka 76, amesema kuwa 'amehadaa' kifo mara tatu na kupona wakati...
- by adminleo
- June 19th, 2018
TANZIA: Seneta Ben Okello aliyekuwa mtangazaji maarufu afariki
Na CECIL ODONGO SENETA wa Migori Ben Oluoch Okello Jumanne alifariki katika hospitali ya MP Shah mjini Nairobi alikokuwa...