Tag: kifo
- by adminleo
- April 26th, 2020
Malaria kuua Wakenya elfu 44 juhudi zote zikielekezewa corona – WHO
Na PAULINE KAIRU SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limeonya kuwa idadi ya vifo vinavyotokana na malaria huenda vikaongezeka maradufu Kenya...
- by adminleo
- April 25th, 2020
Seneti kuchunguza kifo cha Walibora
Na CHARLES WASONGA BUNGE la Seneti Jumatatu litaanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha mwandishi hodari na mwanahabari marehemu Profesa Ken...
- by adminleo
- March 26th, 2020
TANZIA: Kenya yaripoti kifo cha kwanza cha mgonjwa wa Covid-19
Na MWANDISHI WETU KIFO cha kwanza cha mgonjwa wa Covid-19 kimesharipotiwa nchini Kenya ambapo mhanga ni mzee aliyekuwa na umri wa miaka...
- by adminleo
- March 21st, 2020
NMG yamwomboleza mhariri wa The East African
Na AGGREY MUTAMBO KAMPUNI ya Nation Media Group (NMG) kwa mara nyingine inaomboleza kifo cha mwanahabari katika kipindi kisichozidi...
- by adminleo
- March 13th, 2020
Familia yalilia haki ya mtoto wao aliyegongwa na gari
Na SAMMY WAWERU JUMAPILI Machi 8, 2020, mtoto Njeri alirauka alfajiri na mapema ili kujiandaa kuhudhuria ibada ya kanisa, misa ya watoto...
- by adminleo
- February 22nd, 2020
Kwa nini mlinzi wa Ruto akafa?
Na BENSON MATHEKA WAKENYA wameuliza maswali chungu nzima kuhusu kifo cha Sajini Kipyegon Kenei, aliyekuwa mmoja wa walinzi katika ofisi...
- by adminleo
- February 21st, 2020
Wakazi wa Thika wazidi kuomboleza kifo cha Mundia
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa mji wa Thika wanaendelea kumuomboleza meya wa zamani wa Thika, Bw Douglas Kariuki Mundia. Kulingana na...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Simanzi kuu kufuatia kifo cha aliyekuwa mwandishi wa ‘Taifa Leo’
Na Charles Wanyoro SIMANZI imegubika jumuiya ya waandishi baada ya mmoja wao kutoka Meru, Bw Darlington Manyara, 29, kuaga dunia...
- by adminleo
- February 5th, 2020
Mzee aenziwa kwa kuvumisha soka miaka ya 80
Na CECIL ODONGO WANAMICHEZO wanaendelea kuomboleza kufuatia kifo cha Rais wa pili wa Kenya, Daniel Arap Moi aliyeaga dunia katika...
- by adminleo
- December 17th, 2019
Rais wa zamani wa Pakistan ahukumiwa kifo
Na AFP ALIYEKUWA rais wa zamani Pakistan Pervez Musharraf Jumanne alihukumiwa kifo na mahakama maalum kwa kosa la uhaini...
- by adminleo
- November 26th, 2019
Inspekta apatikana amefariki katika baa eneo la Bombolulu
Na MOHAMED AHMED AFISA mmoja wa polisi amepatikana amefariki Jumanne nje ya baa eneo la Bombolulu, Mombasa ambapo inadaiwa alikuwa...
- by adminleo
- November 21st, 2019
Mwanahabari apatikana amefariki chumbani mwa inspekta mwanamke
Na DICKENS WASONGA MWANAHABARI Eric Oloo ambaye hufuatilia matukio Siaya akiwajibikia gazeti moja nchini amepatikana Alhamisi asubuhi...