Tag: knut
- by adminleo
- December 31st, 2018
TAHARIRI: Serikali na KNUT wajali wanafunzi
NA MHARIRI TANGAZO la chama cha walimu nchini (KNUT) kwamba kinapanga kuanza rasmi mgomo Alhamisi, linajiri wakati shule zinapotarajiwa...
- by adminleo
- December 31st, 2018
2019: Mgomo kuanza Alhamisi huku Knut ikikaza kamba
Na CHARLES WASONGA NI rasmi sasa kwamba shughuli za masomo katika shule zote za umma nchini zitatatizika kuanzia Alhamisi wiki hii shule...
- by adminleo
- December 28th, 2018
2018: Uhamisho wa walimu ulizua utata baina ya KNUT na TSC
Na WANDERI KAMAU MWAKA huu ulikuwa mgumu sana kwa walimu, hasa wanaofanya kazi katika ukanda wa Kaskazini Mashariki kutokana na msururu...
- by adminleo
- December 20th, 2018
Tutasambaratisha masomo Januari ‘uhamisho kiholela’ usipokomeshwa, walimu waapa
Na WANDERI KAMAU WALIMU wametangaza mgomo mkubwa wa kitaifa kuanzia Januari 2 2019, kwa kile wametaja kutozingatiwa kwa maslahi yao na...
- by adminleo
- December 10th, 2018
Walimu wataka Sh17b za bima ya matibabu
Na OUMA WANZA WALIMU wanataka watengewe pesa zaidi za bima ya afya wakisema Sh5.6 bilioni wanazotengewa kwa wakati huu...
- by adminleo
- September 17th, 2018
Knut na Kuppet zalaumiana kuhusu anayewajali walimu
Na PIUS MAUNDU KATIBU Mkuu Msaidizi wa Chama cha Kitaifa cha Walimu (KNUT), Bw Collins Oyuu amekashifu Chama cha Walimu wa Sekondari...
- by adminleo
- September 11th, 2018
TAHARIRI: Mgomo utahujumu maandalizi shuleni
NA MHARIRI TANGAZO la Katibu Mkuu wa Chama cha Kitaifa cha Walimu nchini (KNUT) kwamba huenda kitaandaa mgomo wa kitaifa wa walimu iwapo...
- by adminleo
- July 12th, 2018
Kwa muda mrefu tumelipwa mishahara ya kitoto, walimu wa chekechea walia
NA WANDERI KAMAU WALIMU wa shule za chekechea nchini sasa wanataka kuwekwa chini ya usimamizi wa Tume ya Kuwaajiri Walimu (TSC) na...
- by adminleo
- May 12th, 2018
Tunatambua Sossion kama kinara wa KNUT – Mahakama
Na RICHARD MUNGUTI KITUMBUA cha naibu wa katibu mkuu (SG) wa chama cha kutetea walimu Hesbon Otieno kilitiwa mchanga baada ya mahakama...
- by adminleo
- May 6th, 2018
Mzozo Knut wachacha huku Sossion akitupwa nje
Na BERNARDINE MUTANU MZOZO katika Chama cha kitaifa cha Walimu (KNUT) uliendelea kutokota zaidi jana baada ya wanachama wa Kamati Kuu...
- by adminleo
- May 1st, 2018
Sitoki KNUT ng’o, aapa Sossion
Na WYCLIFFE MUIA KATIBU Mkuu wa Muungano wa Walimu nchini (Knut) Wilson Sossion Jumanne alisema hang’atuki kamwe baada ya Baraza la...
- by adminleo
- April 10th, 2018
Walimu watisha kugoma wakiendelea kuhamishwa
Na BARACK ODUOR WALIMU wametishia kugoma muhula ujao kama serikali haitabadilisha sera za kuhamisha walimu kutoka maeneo yao ya...