Tag: machakos
- by adminleo
- June 19th, 2018
Siogopi kurudi debeni – Alfred Mutua
Na VALENTINE OBARA GAVANA wa Machakos Alfred Mutua amesema haogopi kurudi kwa debe endapo Mahakama ya Juu haitakubali ombi lake la...
- by adminleo
- June 13th, 2018
Madiwani Machakos wataka Spika awe Kaimu Gavana
Na STEPHEN MUTHINI MADIWANI wa Machakos sasa wanamtaka Spika wa bunge la kaunti hiyo Florence Mwangangi kutwaa wadhifa wa ugavana baada...
- by adminleo
- June 11th, 2018
Niachie ugavana uingie mbio za Ikulu, Wavinya amwambia Mutua
Na STEPHEN MUTHINI ALIYEKUWA mgombeaji wa kiti cha ugavana Kaunti ya Machakos, Bi Wavinya Ndeti amemtaka Gavana Alfred Mutua aendeleze...
- by adminleo
- March 14th, 2018
Mahabusu asimulia kortini alivyopelekwa benki na polisi kutoa Sh200,000 za hongo
Na KITAVI MUTUA MSHUKIWA wa wizi alishangaza mahakama moja Kaunti ya Machakos Jumatano, kwa kudai kwamba alitolewa seli za polisi na...
- by adminleo
- March 13th, 2018
Wezi waliopiga kambi nyumbani kwa bwenyenye kwa wiki moja wanyakwa
Na KITAVI MUTUA WAKAZI wa mji wa Matuu, Kaunti ya Machakos, wameshangazwa na wezi ambao walipiga kambi kwa wiki moja katika boma la...
- by adminleo
- March 6th, 2018
Esperance ya Tunisia yatua nchini kuchuana na Gor Machakos
Na GEOFFREY ANENE MIAMBA wa soka wa Tunisia, Esperance, wamewasili nchini Kenya kwa mchuano wa mkondo wa kwanza wa raundi ya kwanza ya...
- by adminleo
- February 14th, 2018
Jaji Odunga apelekwa Machakos majaji 17 wakihamishwa
Na RICHARD MUNGUTI JAJI mwenye tajriba ya juu, George Odunga , na anayesifika kwa maamuzi yake ya kihistoria amehamishwa hadi Mahakama Kuu...