• Nairobi
  • Last Updated May 7th, 2024 9:48 PM

Madaktari huiba dawa za wagonjwa Migori na kuziuza TZ – Polisi

Na VIVERE NANDIEMO MADAKTARI na walinzi katika hospitali za Kaunti ya Migori huenda wanashirikiana kuiba vifaa na dawa na kuviuza nchi...

Madaktari bondeni waruhusiwa kujifua kimasomo, watisha kugoma

MAGDALENE WANJA NA RICHARD MAOSI ZAIDI ya madaktari 30 kutoka kaunti tano za kusini mwa Bonde la Ufa wamepokea ruhusa ya kuendeleza masomo...

Jaji azima madaktari wa Cuba kuanza kuhudumu Kenya

Na MAUREEN KAKAH HATIMA ya madaktari kutoka Cuba ambao walianza kuwasili nchini juzi kuhudumu Kenya, sasa iko mikononi mwa mahakama...

Kundi la kwanza la madaktari wa Cuba latua nchini

Na AGGREY OMBOKI KUNDI la kwanza la madaktari kutoka Cuba liliwasili nchini Jumanne usiku. Ndege ya KLM iliyokuwa imewabeba madaktari...

Madaktari wa Cuba kutua nchini Mei 28 kuhudumia wagonjwa mashinani

Na CECIL ODONGO WIZARA ya Afya Jumatatu ilitia saini makubaliano kati yake na Baraza la Magavana kuhusu ushirikiano wa kiafya na kuweka...

Madaktari watoa sindano 7 kutoka tumbo la mtoto

TITUS OMINDE na DENNIS LUBANGA MADAKTARI katika Hospitali ya Mafunzo na Rufaa ya Moi (MTRH) mjini Eldoret wamefanikiwa kutoa sindano...

Wagonjwa wanafariki tukitazama, serikali iwajibike – Madaktari

Na PETER MBURU MADAKTARI katika Hospitali ya Rufaa ya Nakuru Level Five wamekiri kuwa wagonjwa wamekuwa wakifariki humo kutokana na subira...

Waziri atetea ajira ya madaktari kutoka Cuba

Na CECIL ODONGO WAZIRI wa Afya Bi Sicily Kariuki amekanusha kwamba madaktari 100 wataalam kutoka Cuba wanaotarajiwa hapa nchini watatoa...

Hospitali ambako wagonjwa wanafariki ziadhibiwe – Mahakama

Na RICHARD MUNGUTI JAJI mmoja katika Mahakama Kuu amesema kwamba hospitali ambako wagonjwa wanafariki zinapaswa kuadhibiwa kwa kutokuwa na...

Utepetevu hospitalini KNH unavyomsababishia mama uchungu

Na GEOFFREY ANENE HOSPITALI ya Kitaifa ya Kenya (KNH) inamulikwa tena kwa madai ya kumfanyia mama mmoja upasuaji vibaya wakati wa...

KNH mashakani tena kufuatia upasuaji ovyo wa utumbo

[caption id="attachment_3380" align="aligncenter" width="800"] Eneo la matibabu ya dharura katika Hospitali Kuu ya Kenyatta jijini...

KNH yarudisha kazini madaktari iliyowasimamisha kazi

Na BERNARDINE MUTANU HOSPITALI ya Kenyatta (KNH) Alhamisi ilibatilisha barua za kuwasimamisha kazi madaktari wawili walio katika mafunzo...