Tag: madeni
- by adminleo
- January 15th, 2019
Tiketi za SGR: DPP sasa aitisha faili za Wachina
Na PHILIP MUYANGA MKURUGENZI wa mashtaka ya umma Noordin Haji ameitisha faili ya raia watatu wa China waliokamatwa kuhusiana na...
- by adminleo
- January 15th, 2019
Hofu mpya kuhusu madeni ya Uchina
Na LEONARD ONYANGO SERIKALI Jumatatu ilikaa kimya kuhusu taarifa kuwa imepatia China uhuru wa kutwaa mali ya Kenya ipendavyo iwapo...
- by adminleo
- January 2nd, 2019
Bandari yetu haitatwaliwa, tutakopa zaidi kutoka Uchina – Uhuru
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta amekana madai kuwa Bandari ya Mombasa ilitumiwa kama dhamana kwa mkopo kutoka kwa Benki ya Exim...
- by adminleo
- December 20th, 2018
DENI: Huenda Kenya ikapokonywa Bandari ya Mombasa na Uchina
NA BENSON MATHEKA KENYA imo hatarini kupokonywa bandari ya Mombasa na serikali ya Uchina ili kulipia sehemu ya deni kubwa ambalo...
- by adminleo
- November 28th, 2018
MADENI: Kenya hatarini kupigwa mnada na Uchina
PATRICK ALUSHULA Na VALENTINE OBARA Kwa muhtasari: Huenda Uchina ikatwaa Bandari ya Mombasa, JKIA, Reli ya SGR na ardhi Kenya...
- by adminleo
- October 31st, 2018
Serikali yajiandaa kukopa mabilioni tena
Na VALENTINE OBARA WAKENYA wataendelea kukabiliwa na ugumu wa kimaisha kwa kipindi kirefu zaidi kutokana na uwezekano wa ushuru na...
- by adminleo
- October 4th, 2018
Nusu ya mapato hutumika kulipa madeni
Na BERNARDINE MUTANU SERIKALI inatumia zaidi ya nusu ya mapato yote nchini kulipia madeni, ripoti ya Hazina Kuu imefichua. Kati ya...
- by adminleo
- September 8th, 2018
SYSTEM YA MADENI: Rotich alivyokopa kiholela
Na CHARLES WASONGA KUPANDA kwa madeni ya Kenya kutoka Sh1.77 trilioni mnamo 2013 hadi Sh5.1 trilioni mwaka huu, ndio chanzo cha masaibu...
- by adminleo
- September 4th, 2018
Kopa Ruto tulipe deni la Sh5 trilioni, Wakenya wamshauri Uhuru
Na PETER MBURU HATUA ya serikali kutoza Wakenya ushuru zaidi ili kulipia madeni ya Sh5 trilioni iliyokopa na kufadhili bajeti ya Sh3...
- by adminleo
- August 25th, 2018
‘Biashara ndogo, watu binafsi wamelemewa kulipa madeni ya benki’
Na BERNARDINE MUTANU DENI kubwa katika benki za humu nchini lilitokana na mikopo kwa watu binafsi na biashara ndogo. Deni hilo la...
- by adminleo
- April 18th, 2018
Madeni yatisha kuhujumu ujenzi wa barabara kuunganisha miji
Na BERNARDINE MUTANU Huenda ujenzi wa barabara kubwa inayounganisha miji mikuu nchini moja kwa moja kwa gharama ya Sh350 bilioni ukakwama...
- by adminleo
- February 11th, 2018
Ripoti ya mabilioni ya madeni yanyima Gavana Kinyanjui lepe la usingizi
[caption id="attachment_1227" align="aligncenter" width="800"] Gavana wa Nakuru Bw Lee Kinanjui akihutubu awali. Picha/...