• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Matapeli ‘mapepo’ wanavyohangaisha wakazi Limuru

NA MARY WANGARI Huku gharama ya maisha ikizidi kupanda na changamoto za kupata riziki zikigeuka kitendawili kigumu, baadhi ya Wakenya...

MATUKIO 2019: Magenge ya vijana yaliteka Pwani nzima

Na MOHAMED AHMED na FADHILI FREDRICK MAGENGE ya vijana wahalifu yamekuwa yakitatiza usalama katika ukanda wa Pwani hasa katika Kaunti ya...

Genge la matineja lateka mji kwa uhalifu

NA STEPHEN ODUOR GENGE la vijana wa chini ya miaka kumi na sita limeibua hofu miongoni mwa wakazi mjini Madogo, Kaunti ya Tana River kwa...

Genge hatari linalolawiti walevi kabla ya kuwaua lazua hofu Murang’a

Na NDUNGU GACHANE GENGE la wahalifu ambao wamekuwa wakilawiti wanaume, haswa walevi, katika vijiji vya Gakoigo, Nyakagumo na Ihigaini,...

‘Kilifi ni ngome ya magaidi na magenge ya wahalifu’

Na MAUREEN ONGALA KAUNTI ya Kilifi imetajwa kuwa maficho ya magaidi na magenge ya wahalifu ambao wamekuwa wakihangaisha wakazi wa ukanda...

‘Sultan’ aburudika majuu magenge yakihangaisha wakazi Mombasa

Na MWANDISHI WETU GAVANA Hassan Joho amejipata matatani kwa kukaa Amerika mwezi mmoja wakati kaunti yake inapokabiliwa na matatizo...

Polisi Mungiki wanavyotesa wananchi

Na MWANDISHI WETU HUKU makundi ya wahalifu yakiendelea kuhangaisha raia, baadhi ya maafisa wa polisi wamebuni magenge yao ya kuchukua...

Genge la Gaza lavamia na kuhangaisha Tana River

Na STEPHEN ODUOR KWA mwezi mmoja sasa, kundi la watoto wa chini ya zaidi ya miaka 16 linaendelea kuhangaisha wakazi wa eneo la Madogo,...

Kikosi chatumwa Nyeri kuzima magenge

Na MWANDISHI WETU KIKOSI maalum cha kukabiliana na magenge ya uhalifu, kimetumwa katika Kaunti ya Nyeri kufuatia ripoti kuwa wabunge...

Magenge ya vijana Murang’a yasababisha changamoto kuu za kiusalama

Na MWANGI MUIRURI KWA muda sasa wa takriban miaka minne mfululizo, miji kadha ya kaunti ya Murang’a imekuwa ikitatizwa na magenge ya...