• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 7:50 AM

Serikali itaagiza mahindi kutoka mataifa ya Comesa – Kiunjuri

Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Kilimo Mwangi Kiunjuri amefafanua kuwa wizara yaka itaruhusu uagizaji wa mahindi kutoka mataifa jirani...

Jaribio la Kiunjuri kuagiza mahindi ugenini lazimwa

Na CHARLES WASONGA KAMATI ya Bunge kuhusu Kilimo imepinga pendekezo la Waziri wa Kilimo, Mwangi Kiunjuri kwamba pana haja ya serikali...

OBARA: Mbona serikali inawaruhusu mabroka wa mahindi kuumiza wakulima?

Na VALENTINE OBARA KILA mwaka, Wakenya hukabiliwa na hali ngumu ya maisha wakati bei ya unga wa mahindi inapopanda. Hivi sasa bei ya...

MAHINDI: Fyata ulimi, Kiunjuri amwambia Raila

GRACE GITAU, DENNIS LUBANGA na BARNABAS BII WAZIRI wa Kilimo, Bw Mwangi Kiunjuri amempuuzilia mbali Kiongozi wa Chama cha ODM Raila...

Ajabu ya matajiri wa mahindi kumezwa na ufukara

Na BARNABAS BII WAKULIMA wengi wa mahindi katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa wanaishi katika hali ya umaskini licha ya kupata...

Ruhusa yatoka magunia 12m ya mahindi yaagizwe

Na BENSON MATHEKA na BARNABAS BII SERIKALI inapanga kuzipa kampuni za kibinafsi leseni za kuagiza magunia milioni 12.5 ya mahindi bila...

AFYA: Hofu tele kampuni za unga kutotii maagizo

Na PHYLLIS MUSASIA WIZARA ya Afya imeonya kuwa kampuni za unga zisizofuata sheria ya kuongeza madini muhimu kwenye bidhaa zake kabla ya...

Kiunjuri atetea hatua ya serikali kununua mahindi kutoka nje

Na SAMMY WAWERU WAZIRI wa Kilimo Mwangi Kiunjuri ametetea hatua ya serikali kuagiza mahindi kutoka mataifa ya kigeni. Kulingana na...

Viwanda vya unga vyafungwa kufuatia ukosefu wa mahindi

Na BARNABAS BII VIWANDA vya kusaga unga wa mahindi katika maeneo la Magharibi na Kati vimesitisha shughuli kutokana na ukosefu wa...

Hofu mahindi yataisha Kenya majuma 3 yajayo

Na BARNABAS BII KENYA inakodolewa macho na upungufu wa chakula siku chache zijazo, kwani mahindi yanazidi kupungua maghalani huku Waziri...

Wananchi kusubiri zaidi bei ya unga kushuka

Na BERNARDINE MUTANU Wakenya watazidi kungoja kupata unga wa bei ya chini kutokana na vita vinavyoendelea kati ya Wizara ya Kilimo na...

Serikali yawazia kuagiza mahindi kutoka nje

Na BERNARDINE MUTANU Serikali juma hili itaamua ikiwa itaagiza mahindi kutoka nje kutokana kuwa mahindi yaliyomo nchini yanatarajiwa...