Tag: mahindi
- by adminleo
- July 17th, 2019
Serikali itaagiza mahindi kutoka mataifa ya Comesa – Kiunjuri
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Kilimo Mwangi Kiunjuri amefafanua kuwa wizara yaka itaruhusu uagizaji wa mahindi kutoka mataifa jirani...
- by adminleo
- July 16th, 2019
Jaribio la Kiunjuri kuagiza mahindi ugenini lazimwa
Na CHARLES WASONGA KAMATI ya Bunge kuhusu Kilimo imepinga pendekezo la Waziri wa Kilimo, Mwangi Kiunjuri kwamba pana haja ya serikali...
- by adminleo
- July 14th, 2019
OBARA: Mbona serikali inawaruhusu mabroka wa mahindi kuumiza wakulima?
Na VALENTINE OBARA KILA mwaka, Wakenya hukabiliwa na hali ngumu ya maisha wakati bei ya unga wa mahindi inapopanda. Hivi sasa bei ya...
- by adminleo
- July 14th, 2019
MAHINDI: Fyata ulimi, Kiunjuri amwambia Raila
GRACE GITAU, DENNIS LUBANGA na BARNABAS BII WAZIRI wa Kilimo, Bw Mwangi Kiunjuri amempuuzilia mbali Kiongozi wa Chama cha ODM Raila...
- by adminleo
- July 14th, 2019
Ajabu ya matajiri wa mahindi kumezwa na ufukara
Na BARNABAS BII WAKULIMA wengi wa mahindi katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa wanaishi katika hali ya umaskini licha ya kupata...
- by adminleo
- July 6th, 2019
Ruhusa yatoka magunia 12m ya mahindi yaagizwe
Na BENSON MATHEKA na BARNABAS BII SERIKALI inapanga kuzipa kampuni za kibinafsi leseni za kuagiza magunia milioni 12.5 ya mahindi bila...
- by adminleo
- June 11th, 2019
AFYA: Hofu tele kampuni za unga kutotii maagizo
Na PHYLLIS MUSASIA WIZARA ya Afya imeonya kuwa kampuni za unga zisizofuata sheria ya kuongeza madini muhimu kwenye bidhaa zake kabla ya...
- by adminleo
- June 7th, 2019
Kiunjuri atetea hatua ya serikali kununua mahindi kutoka nje
Na SAMMY WAWERU WAZIRI wa Kilimo Mwangi Kiunjuri ametetea hatua ya serikali kuagiza mahindi kutoka mataifa ya kigeni. Kulingana na...
- by adminleo
- June 3rd, 2019
Viwanda vya unga vyafungwa kufuatia ukosefu wa mahindi
Na BARNABAS BII VIWANDA vya kusaga unga wa mahindi katika maeneo la Magharibi na Kati vimesitisha shughuli kutokana na ukosefu wa...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
Hofu mahindi yataisha Kenya majuma 3 yajayo
Na BARNABAS BII KENYA inakodolewa macho na upungufu wa chakula siku chache zijazo, kwani mahindi yanazidi kupungua maghalani huku Waziri...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Wananchi kusubiri zaidi bei ya unga kushuka
Na BERNARDINE MUTANU Wakenya watazidi kungoja kupata unga wa bei ya chini kutokana na vita vinavyoendelea kati ya Wizara ya Kilimo na...
- by adminleo
- May 21st, 2019
Serikali yawazia kuagiza mahindi kutoka nje
Na BERNARDINE MUTANU Serikali juma hili itaamua ikiwa itaagiza mahindi kutoka nje kutokana kuwa mahindi yaliyomo nchini yanatarajiwa...