Tag: mahindi
- by adminleo
- March 31st, 2020
Serikali kuagiza magunia milioni nne ya mahindi kuepusha njaa
Na LEONARD ONYANGO SERIKALI imeidhinisha uagizaji wa magunia milioni nne ya mahindi kutoka nchi za nje ili kuzuia baa la njaa wakati...
- by adminleo
- February 17th, 2020
Raha tele gharama ya kuandaa ugali ikishuka Magharibi
Na BARNABAS BII WALAJI ugali katika eneo la Magharibi wamepata afueni baada ya bei ya unga wa mahindi kushuka. Bei zilishuka kufuatia...
- by adminleo
- January 16th, 2020
Wakulima wa mahindi watoa masharti makali kwa serikali
Na BARNABAS BII WAKULIMA wa mahindi katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa wametoa masharti makali kwa serikali kabla ya kuiuzia...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Njaa yanukia akiba ya mahindi nchini ikiisha
Na BARNABAS BII KENYA inakumbwa na hatari ya kuathiriwa na baa la njaa baada ya kiwango cha zao la mahindi kupungua kwa kiwango...
- by adminleo
- December 7th, 2019
Wakulima wa mahindi sasa wahofia hasara
Na BARNABAS BII WAKULIMA wa mahindi katika eneo la Bonde la Ufa, huenda wakapata hasara kubwa kufuatia mvua kubwa inayoendelea...
- by adminleo
- November 23rd, 2019
Taratibu muhimu za kilimo cha mahindi
Na SAMMY WAWERU MAHINDI pamoja na mchele, ngano, na ndizi ndiyo mazao manne yanayoliwa kwa wingi duniani. Ngano, mahindi na mchele,...
- by adminleo
- August 27th, 2019
Wakulima pabaya serikali ikiagiza mahindi kutoka nje
NA BARNABAS BII WAKULIMA kutoka Kaskazini mwa Bonde la Ufa sasa wanakodolewa macho na hasara kubwa baada ya mahindi yaliyoagizwa na...
- by adminleo
- August 7th, 2019
Karlo yazindua mbegu mpya ya mahindi
Na MWANGI MUIRURI WAKULIMA wa mahindi hapa nchini watanufaika na aina mpya ya mbegu ambayo imezinduliwa kwa nia ya kuzidisha mazao...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Huenda serikali iliuzia Wakenya kansa 2008
Na VALENTINE OBARA HOFU imeibuka miongoni mwa Wakenya kwamba mahindi yenye sumu ya aflatoxin, yaliyoingizwa nchini kutoka ng’ambo...
- by adminleo
- July 26th, 2019
Uhaba wa mahindi magharibi mwa nchi
Na WAANDISHI WETU UHABA mkubwa wa mahindi umeripotiwa katika sehemu kadha za Magharibi mwa Kenya, hali inayoathiri shughuli za kampuni...
- by adminleo
- July 23rd, 2019
AWINO: Wakuzaji miwa waige wenzao wa mahindi
Na GILBERT AWINO Ripoti kutoka Bodi ya Sukari nchini yaonyesha kwamba katika kipindi cha miezi sita iliyopita, serikali iliagiza sukari...
- by adminleo
- July 17th, 2019
Wakati wa kumtimua Kiunjuri ni sasa, wabunge wamwambia Rais
Na CHARLES WASONGA MAPEMA Jumatano wabunge wa North Rift walimtaka Waziri wa Kilimo Mwangi Kiunjuri kujiuzulu kwa kusimamia wizara hiyo...